GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Dr Kitila nakuheshimu sana , hivi kwa kufikiria kwako ni kweli ufisadi tu ndio umesababisha haya matatizo tuliyo nayo? Fanya tafiti dr achana na siasa ww ni Mwana taaluma, wakati wa mwalimu ufisadi kulikuwa hakuna mbona hakuna maendeleo ya maana aliyo yafanya mwalimu zaidi yakuchukua rasilimali zetu na kukombolea nchi nyingine za kiafrika na kupigania vita?Lazima, Kwa sababu ufisadi ndio mzizi na shina la matatizo yote ya nchi yetu kwa sasa. Ukosefu wa maji, dawa mahospitalini, shule duni, n.k. ni kwa sababu ya ufisadi. Unataka aongee nini tena zaidi ya kuongelea mzizi na shina la tatizo?