ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
kwa wale wenye ufahanu kuhusu qualification za dit au ambao mmesoma hapo au mna ndugu zenu hapo nisaidieni kwa matokeo yangu haya naweza kupata nafasi katika ordinary diplom in labaratory technician au computer engineerin.
Division four ya 27.
Civ-d
gography-d
kisw-c
engl-c
math-d
chemistry-d
physics-f
msaada wenu..
phy itakukwamisha, labda tafuta chuo private lakini na hapo dit jaribisha