Aaron
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,019
- 4,693
Kwa wale wenye ufahanu kuhusu qualification za DIT au ambao mmesoma hapo au mna ndugu zenu hapo nisaidieni kwa matokeo yangu haya naweza kupata nafasi katika ordinary diplom in Labaratory technician au Computer engineerin.
Division four ya 27.
Civ-D
Gography-D
Kisw-C
Engl-C
Math-D
Chemistry-D
Physics-F
MSAADA WENU..
Division four ya 27.
Civ-D
Gography-D
Kisw-C
Engl-C
Math-D
Chemistry-D
Physics-F
MSAADA WENU..