Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
WanaJF,
Mnakumbuka ile kauli maarufu ya jk kwamba hafahamu kwa nini nchi yake ni maskini?!? Kwa mawazo yangu watanzania tungekuwa makini angalau kidogo, kauli hii ingem-disqualify kikwete kiasi cha kutofaa kuwa hata M'kiti wa serikali kijiji.
Mnakumbuka ile kauli maarufu ya jk kwamba hafahamu kwa nini nchi yake ni maskini?!? Kwa mawazo yangu watanzania tungekuwa makini angalau kidogo, kauli hii ingem-disqualify kikwete kiasi cha kutofaa kuwa hata M'kiti wa serikali kijiji.