Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,217
Wewe acha kazi za watu hizo. Kiongozi atakuwa Livingstone Lusindeatakuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni
Wewe acha kazi za watu hizo. Kiongozi atakuwa Livingstone Lusindeatakuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni
Kwa mara nyingi kumekuwepo kauli za kuwa CCM ijiandae kisaikolojia kuwa Chama cha Upinzani, katika hili Mwigulu ameonesha kwa vitendo kwa vile kila akijichangia katika vikao vya bajeti amekuwa akichukua maoni ya kambi rasmi ya Upinzani na kuanza kuipinga, kwangu mimi huko ni kujiandaa kisakolojia kuwa chama cha upinzani, kwani Mwaigulu anajua hili kuwa 2015 si mbali hivyo ameona aanze kuzoea kazi ya upinzani.
kwa hapa sidhani kama Mwigulu anapaswa kuchukiwa au kuonekana mbaya katika hili zuri analofanya, kwani si vibaya kama kujiandaa kisaikolojia kuwa chama Cha upinzani kama anavyofanya kwasababu CCM kwasasa ni Kama UKIMWI ambao hauna KINGA WALA TIBA itayofanya ishinde 2015.
Kwa mara nyingi kumekuwepo kauli za kuwa CCM ijiandae kisaikolojia kuwa Chama cha Upinzani, katika hili Mwigulu ameonesha kwa vitendo kwa vile kila akijichangia katika vikao vya bajeti amekuwa akichukua maoni ya kambi rasmi ya Upinzani na kuanza kuipinga, kwangu mimi huko ni kujiandaa kisakolojia kuwa chama cha upinzani, kwani Mwaigulu anajua hili kuwa 2015 si mbali hivyo ameona aanze kuzoea kazi ya upinzani.
kwa hapa sidhani kama Mwigulu anapaswa kuchukiwa au kuonekana mbaya katika hili zuri analofanya, kwani si vibaya kama kujiandaa kisaikolojia kuwa chama Cha upinzani kama anavyofanya kwasababu CCM kwasasa ni Kama UKIMWI ambao hauna KINGA WALA TIBA itayofanya ishinde 2015.