flora meno
Member
- May 11, 2012
- 22
- 3
Huyu Nchemba anadhaliisha waliomchagua. Analinda masilahi yake tuu. Inaonyesha ni jinsi gani chama chake kisivyokuwa makini kwa kumpa madaraka makubwa kiasi hicho. Kwetu sisi tunaona ni jinsi gani anakimaliza chama kilcho tusomesha.