Jeshi letu kiherehere sana linatumika kisiasa.. Si waende kongo?
By the way, wale wafafanuzi wa kauli za rais bado hawajasema huo nao ulikuwa utani?Matola. Heshima mbele. Tumetoka bali sana mkuu, wazo lako zuri, ila Rais angefungua tu mdomo akisema kwamba yote aliyokuwa akiyasema ni utani, basi mandamano yataishia hapo hapo