Kwa heshima ya Jeshi letu JWTZ, Kamati Kuu CHADEMA ikutane kwa dharura kusitisha UKUTA Sept 1

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,459
92,834
Wanabodi mimi nikiwa kama mdau wa demokrasia natoa ushauri kwa CHADEMA ambao nauita ni ushauri wa lazima.

Kwanza kabisa ieleweke malengo ya UKUTA yametimia ila mfalme hawezi kukubali ila ukweli ni kwamba tayari anayajutia makosa yake kimyakimya.

Nikirudi kwenye mantiki ya uzi huu ni kwamba Jeshi letu pekee tunaloliheshimu na ambalo lipo upande wa wananchi siku zote ni JWTZ ambapo limetowa ratiba yake ya maazimisho siku ya tarehe 1 Septemba litakuwa kwenye majukumu ya kijamii mbalimbali.

Sasa mimi Matola kama sehemu ya jamii hiyo Sept 1 ningependa kujumuika na JWTZ na nisingependa kuona raia wanachanganywa na tukio la kitaifa zaidi ya moja, hivyo basi naishauri CC ya CHADEMA ikutane kwa dharura kufuta maandamano to show respect kwa Makamanda original.

Hii ina maana gani? CHADEMA mkisitisha maandamano mtakuwa mmeruka mitego miwili mliyowekewa, wa kwanza kikao na msajili ni tarehe 3 na nina uhakika kikao hicho kitapata muafaka wa mnachokipigania na la pili katika mazingira haya mkiandamana itakuwa ni dharau kwa Jeshi letu la JWTZ ambalo lipo kwenye maazimisho yake.

Binafsi tarehe 1 Septemba nitakuwa pamoja na Jeshi letu siko tayari kuwa sehemu ya maandamano hayo. Kama siku zote tumeipigania CHADEMA kwa nguvu zetu zote basi muwe tayari kupokea ushauri wa tija nia njema tunaotowa. Mkijifanya wakaidi mtabetray the whole trust from the public.

Mwenye masikio na asikie mpaka dakika hii CHADEMA imeshinda vita hii sasa huu mkia uliobaki msijiaribie. Just cease fire for the while, msajili atatoa tamko la kuruhusu mikutano nawahakikishia.
 
Subiri kwanza, kama ni kuahirisha basi iwe tarehe 31/08/2016, ili tuone wavyohangaika
 
Wanabodi mimi nikiwa kama mdau wa demokrasia natoa ushauri kwa Chadema ambao nauita ni ushauri wa lazima.

kwanza kabisa ieleweke malengo ya UKUTA yametimia ila mfalme hawezi kukubali kama yupo uchi ila ukweli ni kwamba tayari anayajutia makosa yake kimyakimya.

nikirudi kwenye mantiki ya uzi huu ni kwamba Jeshi letu pekee tunaloliheshimu na ambalo lipo upande wa wananchi siku zote ni JWTZ ambapo limetowa ratiba yake ya maazimisho siku ya tarehe 1sept litakuwa kwenye majukumu ya kijamii mbalimbali.

Sasa mimi Matola kama sehemu ya jamii hiyo sept 1 ningependa kujumuika na JWTZ na nisingependa kuona raia wanachanganywa na tukio la kitaifa zaidi ya moja, hivyo basi naishauri CC ya Chadema ikutane kwa dharura kufuta maandamano to show respect kwa Makamanda original.

Hii ina maana gani Chadema mkisitisha maandamano mtakuwa mmeruka mitego miwili mliyowekewa, wa kwanza kikao na msajili ni tarehe 3 na nina uhakika kikao hicho kitapata muhafaka wa mnachokipigania na la pili katika mazingira haya mkiandamana itakuwa ni dharau kwa Jeshi letu la JWTZ ambalo lipo kwenye maazimisho yake.

Binafsi tarehe 1sept nitakuwa pamoja na Jeshi letu siko tayari kuwa sehemu ya maandamano hayo.

kama siku zote tumeipigania Chadema kwa nguvu zetu zote basi muwe tayari kupokea ushauri wa tija nia njema tunaotowa.

mkijifanya wakaidi mtabetray the whole trust from the public.

Mwenye masikio na asikie mpaka dakika hii Chadema imeshinda vita hii sasa huu mkia uliobaki msijiaribie.

Just cease fire for the while, msajili atatowa tamko la kuruhusu mikutano nawahakikishia.
Sababu kwenye sahani ya dhahabu?
Hamkujua kuwa tarehe 01/ 09 kuwa Jeshi litakuwa likisheherekea kumbukumbu ya kuasisiwa kwake?
 
Bado mapema,hata kama ni kuahirisha tutatangaza dakika ya mwisho baada ya jeshi la polisi kuwa limehenya vya kutosha
 
Andamaneni tu, kwani mlipokuwa mkipanga hamkufahamu hayo, achene uoga makamanda, ninyi si mnataka kuiokomboa nchi, sasa iweje muliheshimu jeshi ambalo amiri jeshi wake mkuu ndiyo huyo mnayempinga? msitafute sababu ya kutoandamana, ninyi andamaneni tu mkione.
 
Wanabodi mimi nikiwa kama mdau wa demokrasia natoa ushauri kwa Chadema ambao nauita ni ushauri wa lazima.

kwanza kabisa ieleweke malengo ya UKUTA yametimia ila mfalme hawezi kukubali kama yupo uchi ila ukweli ni kwamba tayari anayajutia makosa yake kimyakimya.

nikirudi kwenye mantiki ya uzi huu ni kwamba Jeshi letu pekee tunaloliheshimu na ambalo lipo upande wa wananchi siku zote ni JWTZ ambapo limetowa ratiba yake ya maazimisho siku ya tarehe 1sept litakuwa kwenye majukumu ya kijamii mbalimbali.

Sasa mimi Matola kama sehemu ya jamii hiyo sept 1 ningependa kujumuika na JWTZ na nisingependa kuona raia wanachanganywa na tukio la kitaifa zaidi ya moja, hivyo basi naishauri CC ya Chadema ikutane kwa dharura kufuta maandamano to show respect kwa Makamanda original.

Hii ina maana gani Chadema mkisitisha maandamano mtakuwa mmeruka mitego miwili mliyowekewa, wa kwanza kikao na msajili ni tarehe 3 na nina uhakika kikao hicho kitapata muhafaka wa mnachokipigania na la pili katika mazingira haya mkiandamana itakuwa ni dharau kwa Jeshi letu la JWTZ ambalo lipo kwenye maazimisho yake.

Binafsi tarehe 1sept nitakuwa pamoja na Jeshi letu siko tayari kuwa sehemu ya maandamano hayo.

kama siku zote tumeipigania Chadema kwa nguvu zetu zote basi muwe tayari kupokea ushauri wa tija nia njema tunaotowa.

mkijifanya wakaidi mtabetray the whole trust from the public.

Mwenye masikio na asikie mpaka dakika hii Chadema imeshinda vita hii sasa huu mkia uliobaki msijiaribie.

Just cease fire for the while, msajili atatowa tamko la kuruhusu mikutano nawahakikishia.

Makamanda hakuna kurudi nyuma na ole wake aje msaliti na hoja ya kusitisha maandamano. Ufipa patachimbika.
 
Andamaneni tu, kwani mlipokuwa mkipanga hamkufahamu hayo, achene uoga makamanda, ninyi si mnataka kuiokomboa nchi, sasa iweje muliheshimu jeshi ambalo amiri jeshi wake mkuu ndiyo huyo mnayempinga? msitafute sababu ya kutoandamana, ninyi andamaneni tu mkione.

Ni ajabu sana Makamanda kukimbia mapambano. Hakika huo ni usaliti mkubwa sana
 
Mi nadhani tuungane na jeshi kwenye huo usafi tanzania nzima humo humo tunayajenga na makamanda inakuwa maandamano tunaibua tshirt na mabango nina uhakika ffu hawatatia mguu kwenye huo msafala! Nna uhakika makamanda nao wanasapoti ukuta ...just a dream.
 
Matola. Heshima mbele. Tumetoka bali sana mkuu, wazo lako zuri, ila Rais angefungua tu mdomo akisema kwamba yote aliyokuwa akiyasema ni utani, basi mandamano yataishia hapo hapo
 
Mi nadhani tuungane na jeshi kwenye huo usafi tanzania nzima humo humo tunayajenga na makamanda inakuwa maandamano tunaibua tshirt na mabango nina uhakika ffu hawatatia mguu kwenye huo msafala! Nna uhakika makamanda nao wanasapoti ukuta ...just a dream.
Embu kajarbu kuweka pua yako kwny shughulu zao akaf ulete feedback
 
Matola. Heshima mbele. Tumetoka bali sana mkuu, wazo lako zuri, ila Pharao angefungua tu mdomo akisema kwamba. Yote aliyokuwa akiyasema ni utani, basi mandamano yataishia capo hapo
Magufuli, Lowasa na Mkapa wapo pamoja muda huu wanabadirishana mawazo, picha ninazo nashindwa kuzirusha niko kwenye device kimeo na remote area.
 
Mmetegewa mtego mzuri sana. Makamanda wanapofanya shughuli zao huwa hawapendi kuona sisimizi analeta fyoko fyoko mtaani. Kama mna masikio naomba mngeahirisha siku hiyo, vinginevyo mkubaliane na kitakachowapata.
 
Wanabodi mimi nikiwa kama mdau wa demokrasia natoa ushauri kwa Chadema ambao nauita ni ushauri wa lazima.

kwanza kabisa ieleweke malengo ya UKUTA yametimia ila mfalme hawezi kukubali kama yupo uchi ila ukweli ni kwamba tayari anayajutia makosa yake kimyakimya.

nikirudi kwenye mantiki ya uzi huu ni kwamba Jeshi letu pekee tunaloliheshimu na ambalo lipo upande wa wananchi siku zote ni JWTZ ambapo limetowa ratiba yake ya maazimisho siku ya tarehe 1sept litakuwa kwenye majukumu ya kijamii mbalimbali.

Sasa mimi Matola kama sehemu ya jamii hiyo sept 1 ningependa kujumuika na JWTZ na nisingependa kuona raia wanachanganywa na tukio la kitaifa zaidi ya moja, hivyo basi naishauri CC ya Chadema ikutane kwa dharura kufuta maandamano to show respect kwa Makamanda original.

Hii ina maana gani Chadema mkisitisha maandamano mtakuwa mmeruka mitego miwili mliyowekewa, wa kwanza kikao na msajili ni tarehe 3 na nina uhakika kikao hicho kitapata muhafaka wa mnachokipigania na la pili katika mazingira haya mkiandamana itakuwa ni dharau kwa Jeshi letu la JWTZ ambalo lipo kwenye maazimisho yake.

Binafsi tarehe 1sept nitakuwa pamoja na Jeshi letu siko tayari kuwa sehemu ya maandamano hayo.

kama siku zote tumeipigania Chadema kwa nguvu zetu zote basi muwe tayari kupokea ushauri wa tija nia njema tunaotowa.

mkijifanya wakaidi mtabetray the whole trust from the public.

Mwenye masikio na asikie mpaka dakika hii Chadema imeshinda vita hii sasa huu mkia uliobaki msijiaribie.

Just cease fire for the while, msajili atatowa tamko la kuruhusu mikutano nawahakikishia.
Matola hata mimi nimeshauri hivyo kwenye thread hii ikaunganishwa.

USHAURI: UKUTA usogezwe hadi Sept. 8, kupisha maadhimisho ya JWTZ.
Kama taarifa za Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), litasherehekea miaka 52 tangu kuanzishwa Sept. 1, nawashauri Chadema wasogeze mbele tarehe ya uzinduzi wa Operation UKUTA iliyokuwa ifanyike Sept. Mosi.

Hii itakuwa ni heshima kubwa kwa Chadema pia heshima kwa Jeshi letu.

Ushauri wangu kama siyo Sept. 1 basi tukutane Sept. 8.
 
Back
Top Bottom