Kuzuiliwa kwa matumizi kamili ya huduma za saa janja nchini

j_h_kirigini

Senior Member
Dec 31, 2015
131
56
Habari za muda huu wanajamvi. Naenda moja kwa moja kwenye mada..

Mpaka hivi leo matumizi ya saa janja za mkono (smart watch) yameongezeka sana hapa nchini na maeneo mengine duniani, hali hii imetokana na kuongezeka kwa uelewa juu ya teknolojia inavyoweza kusaidia kwenye maisha ya kila siku.

Lengo la kuandika uzi huu hasa ni kuleta mbele yenu jambo hili linalohusu Kutokuwepo/Kuzuiliwa kwa huduma muhimu nchini zitokanazo na hizi saa janja hasa katika kufuatilia mienendo ya Afya.

Pamoja na kuwepo saa janja nyingi zenye uwezo, nitatumia saa janja za kampuni zinazojulikana za Apple (yaani apple watch) na Samsung (yaani galaxy watch) kutokana na kuwa na ukaribu wa usahihi wa matokeo ya vipimo kulinganisha na matokeo ya vipimo vya vifaa tiba halisi.

APPLE WATCH (saa janja ya kampuni ya Apple)
Huduma za kufuatilia mienendo ya afya zilizozuiliwa kutumika hapa nchini ni kupima Pressure (shinikizo la damu), ECG (electrocardiography), AFib (atrial fibrillation) history na Irregular heart rhythm notifications.

GALAXY WATCH (saa janja ya kampuni ya Samsung)
Huduma za kufuatilia mienendo ya afya zilizozuiliwa kutumika hapa nchini ni kupima Pressure ya damu na ECG. Na hii ni kutokana na kuzuiliwa kwa matumizi ya Application ya Health Monitor kwenye simu za Samsung.

Pamoja na kuzuiliwa kwa huduma tajwa kuna huduma nyingine nyingi zinafanya kazi kwenye saa hizi janja hasa za kampuni tajwa hapo juu. Huduma kama kupima level ya oxygen, stress, activities tracking ya mazoezi mbalimbali, calories, sleep tracking, nk..

MASWALI
Je swala hili limeshazungumzwa sehemu yoyote hapa nchini?

Je ni kwanini huduma hizi zimezuiliwa kutumika hapa nchini ingawa Nchi nyingi duniani wameruhusu matumizi ya huduma hizi? Kama kuna sababu za kitaabibu zilizowahi kutolewa na wasimamizi katika sekta hii mfano. TMDA (msimamizi wa vifaa tiba nchini) naomba tuzifahamu kwa faida ya wengi hapa jukwaani

Nawasilisha..
 
Hilo tamko la kuzuia hayo lipo wapi?

Na wamewazaje kuzuia saa ambayo OS software yake haipo controlled na mamlaka yeyote ya nchi?

Hizi apps zinahitaji kuidhinishwa na Serikali ili zitumike nchini kupitia future updates
 
Habari za muda huu wanajamvi. Naenda moja kwa moja kwenye mada..

Mpaka hivi leo matumizi ya saa janja za mkono (smart watch) yameongezeka sana hapa nchini na maeneo mengine duniani, hali hii imetokana na kuongezeka kwa uelewa juu ya teknolojia inavyoweza kusaidia kwenye maisha ya kila siku.

Lengo la kuandika uzi huu hasa ni kuleta mbele yenu jambo hili linalohusu Kutokuwepo/Kuzuiliwa kwa huduma muhimu nchini zitokanazo na hizi saa janja hasa katika kufuatilia mienendo ya Afya.

Pamoja na kuwepo saa janja nyingi zenye uwezo, nitatumia saa janja za kampuni zinazojulikana za Apple (yaani apple watch) na Samsung (yaani galaxy watch) kutokana na kuwa na ukaribu wa usahihi wa matokeo ya vipimo tajwa kulinganisha na matokeo ya vipimo vya vifaa tiba halisi.

APPLE WATCH (saa janja ya kampuni ya Apple)
Huduma za kufuatilia mienendo ya afya zilizozuiliwa kutumika hapa nchini ni kupima Pressure (shinikizo la damu), ECG (electrocardiography), AFib (atrial fibrillation) history na Irregular heart rhythm notifications.

GALAXY WATCH (saa janja ya kampuni ya Samsung)
Huduma za kufuatilia mienendo ya afya zilizozuiliwa kutumika hapa nchini ni kupima Pressure ya damu na ECG. Na hii ni kutokana na kuzuiliwa kwa matumizi ya Application ya Health Monitor kwenye simu za Samsung.

Pamoja na kuzuiliwa kwa huduma tajwa kuna huduma nyingine nyingi zinafanya kazi kwenye saa hizi janja hasa za kampuni tajwa hapo juu. Huduma kama kupima level ya oxygen, stress, activities tracking ya mazoezi mbalimbali, calories, sleep tracking, nk..

MASWALI
Je swala hili limeshazungumzwa sehemu yoyote hapa nchini?

Je ni kwanini huduma hizi zimezuiliwa kutumika hapa nchini ingawa Nchi nyingi duniani wameruhusu matumizi ya huduma hizi? Kama kuna sababu za kitaabibu zilizowahi kutolewa na wasimamizi katika sekta hii mfano. TMDA (msimamizi wa vifaa tiba nchini) naomba tuzifahamu kwa faida ya wengi hapa jukwaani

Nawasilisha..
Hata hizo nchi zilizoendelea wataalamu hawashauri kutumia hivyo vifaa kama kipimo, vina error ambazo zinaweza kuleta false alarm, mfano Heart rate monitor ya Apple inaweza kuwa 91% accuracy, ni kubwa compare na za kichina ambazo zinakuwa hadi 70% ila still hizo asilimia 9 zinaweza kuleta false alarm nyingi. Vifaa vya Hospitali ni 99%.

Vipigwe marufuku? Sidhani kama ni sahihi, Bali watumiaji wapewe tu elimu waelewe, ikitokea ameambiwa na saa yake ana tatizo fulani aka verify Hospitali, huwa sometime zinasaidia hizo saa.
 
Habari za muda huu wanajamvi. Naenda moja kwa moja kwenye mada..

Mpaka hivi leo matumizi ya saa janja za mkono (smart watch) yameongezeka sana hapa nchini na maeneo mengine duniani, hali hii imetokana na kuongezeka kwa uelewa juu ya teknolojia inavyoweza kusaidia kwenye maisha ya kila siku.

Lengo la kuandika uzi huu hasa ni kuleta mbele yenu jambo hili linalohusu Kutokuwepo/Kuzuiliwa kwa huduma muhimu nchini zitokanazo na hizi saa janja hasa katika kufuatilia mienendo ya Afya.

Pamoja na kuwepo saa janja nyingi zenye uwezo, nitatumia saa janja za kampuni zinazojulikana za Apple (yaani apple watch) na Samsung (yaani galaxy watch) kutokana na kuwa na ukaribu wa usahihi wa matokeo ya vipimo tajwa kulinganisha na matokeo ya vipimo vya vifaa tiba halisi.

APPLE WATCH (saa janja ya kampuni ya Apple)
Huduma za kufuatilia mienendo ya afya zilizozuiliwa kutumika hapa nchini ni kupima Pressure (shinikizo la damu), ECG (electrocardiography), AFib (atrial fibrillation) history na Irregular heart rhythm notifications.

GALAXY WATCH (saa janja ya kampuni ya Samsung)
Huduma za kufuatilia mienendo ya afya zilizozuiliwa kutumika hapa nchini ni kupima Pressure ya damu na ECG. Na hii ni kutokana na kuzuiliwa kwa matumizi ya Application ya Health Monitor kwenye simu za Samsung.

Pamoja na kuzuiliwa kwa huduma tajwa kuna huduma nyingine nyingi zinafanya kazi kwenye saa hizi janja hasa za kampuni tajwa hapo juu. Huduma kama kupima level ya oxygen, stress, activities tracking ya mazoezi mbalimbali, calories, sleep tracking, nk..

MASWALI
Je swala hili limeshazungumzwa sehemu yoyote hapa nchini?

Je ni kwanini huduma hizi zimezuiliwa kutumika hapa nchini ingawa Nchi nyingi duniani wameruhusu matumizi ya huduma hizi? Kama kuna sababu za kitaabibu zilizowahi kutolewa na wasimamizi katika sekta hii mfano. TMDA (msimamizi wa vifaa tiba nchini) naomba tuzifahamu kwa faida ya wengi hapa jukwaani

Nawasilisha..
Mada za kujadili JF full time zilipaswa ziwe za aina hii, lkn sasa nyuzi za kula tunda kimasikhara na zile za Msukule kuoa mke wa 9 ndizo zinatamba kwa GT wa Kitanzania. Makubwaaa
 
Hata hizo nchi zilizoendelea wataalamu hawashauri kutumia hivyo vifaa kama kipimo, vina error ambazo zinaweza kuleta false alarm, mfano Heart rate monitor ya Apple inaweza kuwa 91% accuracy, ni kubwa compare na za kichina ambazo zinakuwa hadi 70% ila still hizo asilimia 9 zinaweza kuleta false alarm nyingi. Vifaa vya Hospitali ni 99%.

Vipigwe marufuku? Sidhani kama ni sahihi, Bali watumiaji wapewe tu elimu waelewe, ikitokea ameambiwa na saa yake ana tatizo fulani aka verify Hospitali, huwa sometime zinasaidia hizo saa.

Ni kweli ndio maana kuna sehemu nimeandika vinakaribiana kwa usahihi wa matokeo ya vipimo vya vifaa tiba halisi..

Pia hata wao wametoa tahadhari kwa watumiaji kuhusu hilo na pia mfano. Ukiwa umeenda nchi inayoruhusu kipimo cha ecg kwenye apple watch, kwenye report ya kipimo utakuta tahadhari hizo kwa uwazi kabisa.
 
Sijaelewa

Kwamba una maanisha wizara ya afya imeielekeza TCRA

Hapana, hakuna maelekezo yaliyotoka kwenda popote. Tuna hoji kwanini huduma (features) kama ecg na blood pressure hazijaruhusiwa kutumika nchini (yaani features hizo zipo inactive kwenye updates za software za sasa zinazokuja nchini)
 
Je ni kwanini huduma hizi zimezuiliwa kutumika hapa nchini ingawa Nchi nyingi duniani wameruhusu matumizi ya huduma hizi? Kama kuna sababu za kitaabibu zilizowahi kutolewa na wasimamizi katika sekta hii mfano. TMDA (msimamizi wa vifaa tiba nchini) naomba tuzifahamu kwa faida ya wengi hapa jukwaani
Yaleyale ya star link
 
Hilo tamko la kuzuia hayo lipo wapi?

Na wamewazaje kuzuia saa ambayo OS software yake haipo controlled na mamlaka yeyote ya nchi?

Kampuni nilizotaja zinahitaji green light yaani ruhusa ili kufungulia huduma nilizotaja kwakuwa huduma hizo zimekaa kitiba zaidi na kila nchi ina mamlaka inayodhibiti matumizi ya vifaa tiba.

Kwasasa huduma hizi zipo kwenye software zao lakini hazipo active kwenye nchi ambazo hazijaruhusu matumizi hayo.
 
Hapana, hakuna maelekezo yaliyotoka kwenda popote. Tuna hoji kwanini huduma (features) kama ecg na blood pressure hazijaruhusiwa kutumika nchini (yaani features hizo zipo inactive kwenye updates za software za sasa zinazokuja nchini)
Una hakika zimezuiliwa au labda hujajua kuzi activate tu?

Mamlaka za serikali zinaweza vipi kuzuia features fulani kwenye saa once internet connection imepatikana?

How does this work practically?

Is there like a port number they block au inafanya kazi vipi?

Pia, Apple wana kesi ya patent wameshindwa December. Una hakika hizo features kuwa deactivated hakuna uhusiano na kesi hii?

 
Una hakika zimezuiliwa au labda hujajua kuzi activate tu?

Mamlaka za serikali zinaweza vipi kuzuia features fulani kwenye saa once internet connection imepatikana?

How does this work practically?

Is there like a port number they block au inafanya kazi vipi?

Pia, Apple wana kesi ya patent wameshindwa December. Una hakika hizo features kuwa deactivated hakuna uhusiano na kesi hii?


Kuhusu patent case imehusisha only blood oxgen tests kwa latest apple watches (apple watch series 9 na apple watch ultra 2), maana yake ni apple watches kuanzia series 6 mpaka series 8 pamoja na apple watch ultra zote zitapiga kazi katika kupima blood oxygen kama kawaida kama ilivyokuwa zamani.

Blood oxygen tests hata hapa nchini imekuwa activated na inatumika vizuri kwenye apple watches ambazo hazihusishi sakata la kisheria la sasa linaloikumba apple.
 
Kuhusu patent case imehusisha only blood oxgen tests kwa latest apple watches (apple watch series 9 na apple watch ultra 2), maana yake ni apple watches kuanzia series 6 mpaka series 8 pamoja na apple watch ultra zote zitapiga kazi katika kupima blood oxygen kama kawaida kama ilivyokuwa zamani.

Blood oxygen tests hata hapa nchini imekuwa activated na inatumika vizuri kwenye apple watches ambazo hazihusishi sakata la kisheria la sasa linaloikumba apple.
Bado hujajibu swali langu, technically, hizo features zinawezaje kuwa disabled?

Yani Apple wanaambiwa saa zote zilizopo Tanzania do not enable this feature? Is that possible? How is that done? By IP address?

Kama ni hivyo, vipi mtu aki VPN na ku bypass IP block, au akisafiri na kuunga simu kwenye IP system ya Dubai kwa mfano? Ata bypass hiyo block? Kama kuna kosa, Kosa la Apple au la huyo mtu hapo?
 
Una hakika zimezuiliwa au labda hujajua kuzi activate tu?

Mamlaka za serikali zinaweza vipi kuzuia features fulani kwenye saa once internet connection imepatikana?

How does this work practically?

Is there like a port number they block au inafanya kazi vipi?

Pia, Apple wana kesi ya patent wameshindwa December. Una hakika hizo features kuwa deactivated hakuna uhusiano na kesi hii?


huduma nilizotaja ambazo hazijaidhinishwa kutumika nchini zimekaa kitiba zaidi na kila nchi ina mamlaka inayodhibiti matumizi ya vifaa tiba.

Kwasasa huduma hizi zipo kwenye software zao lakini wamezifanya kuwa inactive kwenye nchi ambazo hazijaidhinisha matumizi hayo.

Tukishaidhinisha wata activate (hizo kampuni) huduma hizo kwenye updates zao za os..
 
Back
Top Bottom