Je naweza kupata huduma ya E-sim kwa simu ya namna hii?

NGOSWE2

JF-Expert Member
Dec 19, 2013
635
547
Habari waungwana!

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza.

Nahitaji kutumia huduma ya E-sim ambayo siku hizi makampuni yetu ya huduma za mawasiliano yameileta nchini.

Je, kwa simu aina ya samsung A04 ina support kupata huduma hii? Nimeona nije kwa wajuzi wa haya mambo.

Karibuni kwa msaada tafadhari!
 
Habari waungwana!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza.
Nahitaji kutumia huduma ya E-sim ambayo siku hizi makampuni yetu ya huduma za mawasiliano yameileta nchini.
Je, kwa simu aina ya samsung A04 ina support kupata huduma hii? Nimeona nije kwa wajuzi wa haya mambo.
Karibuni kwa msaada tafadhari!
Uwe unatembelea gsmarena.com
 
Habari waungwana!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza.
Nahitaji kutumia huduma ya E-sim ambayo siku hizi makampuni yetu ya huduma za mawasiliano yameileta nchini.
Je, kwa simu aina ya samsung A04 ina support kupata huduma hii? Nimeona nije kwa wajuzi wa haya mambo.
Karibuni kwa msaada tafadhari!
Kujua kama ina e sim bonyeza *#06#
 
Back
Top Bottom