Kuzuia baadhi ya mavazi CBE ni kinyume na haki za binadamu

Nimekerwa sana na kitendo cha naibu mkuu wa chuo cha CBE, Bw Othman Hemed na timu take kukataza wanafunzi kuvaa mitindo mbalimbali ya nguo na kuamuru wavae mitindo anayopenda yeye kwa kisingizio cha MAADILI YA KITANZANIA.

Kwanza nina uhakika (kama yupo anayebisha na aje), kuwa hakuna mwongozo wowote ni yapi MAADILI YA MTANZANIA. Kwa maana hiyo hayo maadili ya mtanzania ni kitu cha kufikirika tu, hakipo.

Watanzania tunaongozwa na katiba, na mwananchi yeyote ana haki ya kufanya lolote ili mradi asivunje sheria. Bw Othman aulizwe sheria gani anayokuwa amevunja mwanachuo akivaa jeans iwe ya kubana au kuachia? Bw Othman atuonyeshe katika sheria za nchi au za chuo ni wapi pameanishwa urefu wa sketi ili isiwe kimini, mitindo ya nywele au upana wa suruali. Tunafahamu sheria inakataza mtu mzima na mwenye akili timamu kuwa uchi hadharani, na imedefine uchi kuwa ni hali ya mtu kutokuvaa nguo zinazositiri uke/uume. Kuna nchi nyingine hairuhusiwi hata kuonyesha matiti nje, lakini kwa Tanzania haikatazwi, na ndio maana sio kitu cha ajabu kuwaona kina mama wakiwa vifua wazi.

Tunafahamu kuwa zipo tamaduni za makabila tofauti ya kitanzania, na kati ya hizo zipo za uvaaji zinazoruhusu sehemu kubwa ya mwili kuachwa wazi.

Kwa mantiki hiyo, kitendo cha uongozi wa CBE kuwazuia kusoma wanafunzi wanaovaa baadhi ya mitindo ya nguo na nywele, ambayo kwa uhakika wangu ni kuwa haivunji sheria za nchi, na wanaovaa ni watu wenye akili timamu na wanajua wanachokifanya, ni kitendo cha kizandiki, na kinafiki, na cha kipumbavu.

Kama huna tabia za ushoga bc unakunywa sana viroba
 
Huyo jamaa nahisi ni compaign manager wa shetani,utateteaje ujinga hadharani!!!!.Ikiwezekana wabane hadi lipshine
 
usishangae na sio cbe peke yake walianza saut sahiv mambo yapo shwarii watu washazoea kuvaa zao sket na gaun hhahahaha na inavoenda mpaka vyup vyote itakuwa hivoo chezea maadili wewe bt in other hand inasaidia kuwashape watu fulan fulan kuna watu wanavaa hovyo jamn hakuna mfano sasa na huko kuboost ziwa lataka lifike shingon uan akiinama linatoka

vyuo vya kata ndo vina huo ungese
 
Tuko mkali wng hii mada umechemka?au ulikuwa unatakazungumzia katika minajili gani?dini au maadili?
 
Sasa umeambiwa chuo ni sehemu ya mitindo? Kama unataka mitindo nenda kwa mustafa hassanali
 
Taaluma inaendana na maadili siku zote uwezi sema haki za binadam kama unakiuka utamadun sahihi wa nchi yako.Acha kudanganywa na video
 
Mnamlaumu Mkuu wa Chuo au mnaulaumu Uongozi wa Chuo? Mimi naamini Mkuu wa Chuo anawakilisha makubaliano ya Uongozi wote [Utawala], yeye akiwa mtekelezaji tu.

Pamoja kuwa anajukumu kubwa zaidi la kuibua Taaluma ya Chuo,hamuoni kuwa taaluma huanzia kwenye nidhamu, na nidhamu ni mkusanyiko wa vitu vingi ambapo matokeo yake ni pamoja na ubora ktk Taaluma?

Naungana na Utawala wa Chuo ktk kudhibiti masuala ta mavazi ILA tu, isijekuwa mavazi ya dini zetu kugeuzwa kuwa ndio mavazi ya heshima.
 
Nimekerwa sana na kitendo cha naibu mkuu wa chuo cha CBE, Bw Othman Hemed na timu take kukataza wanafunzi kuvaa mitindo mbalimbali ya nguo na kuamuru wavae mitindo anayopenda yeye kwa kisingizio cha MAADILI YA KITANZANIA.

Kwanza nina uhakika (kama yupo anayebisha na aje), kuwa hakuna mwongozo wowote ni yapi MAADILI YA MTANZANIA. Kwa maana hiyo hayo maadili ya mtanzania ni kitu cha kufikirika tu, hakipo.

Watanzania tunaongozwa na katiba, na mwananchi yeyote ana haki ya kufanya lolote ili mradi asivunje sheria. Bw Othman aulizwe sheria gani anayokuwa amevunja mwanachuo akivaa jeans iwe ya kubana au kuachia? Bw Othman atuonyeshe katika sheria za nchi au za chuo ni wapi pameanishwa urefu wa sketi ili isiwe kimini, mitindo ya nywele au upana wa suruali. Tunafahamu sheria inakataza mtu mzima na mwenye akili timamu kuwa uchi hadharani, na imedefine uchi kuwa ni hali ya mtu kutokuvaa nguo zinazositiri uke/uume. Kuna nchi nyingine hairuhusiwi hata kuonyesha matiti nje, lakini kwa Tanzania haikatazwi, na ndio maana sio kitu cha ajabu kuwaona kina mama wakiwa vifua wazi.

Tunafahamu kuwa zipo tamaduni za makabila tofauti ya kitanzania, na kati ya hizo zipo za uvaaji zinazoruhusu sehemu kubwa ya mwili kuachwa wazi.

Kwa mantiki hiyo, kitendo cha uongozi wa CBE kuwazuia kusoma wanafunzi wanaovaa baadhi ya mitindo ya nguo na nywele, ambayo kwa uhakika wangu ni kuwa haivunji sheria za nchi, na wanaovaa ni watu wenye akili timamu na wanajua wanachokifanya, ni kitendo cha kizandiki, na kinafiki, na cha kipumbavu.

umeandika kwa busara, ila hujaandika chenye busara!
 
Nimekerwa sana na kitendo cha naibu mkuu wa chuo cha CBE, Bw Othman Hemed na timu take kukataza wanafunzi kuvaa mitindo mbalimbali ya nguo na kuamuru wavae mitindo anayopenda yeye kwa kisingizio cha MAADILI YA KITANZANIA.

Kwanza nina uhakika (kama yupo anayebisha na aje), kuwa hakuna mwongozo wowote ni yapi MAADILI YA MTANZANIA. Kwa maana hiyo hayo maadili ya mtanzania ni kitu cha kufikirika tu, hakipo.

Watanzania tunaongozwa na katiba, na mwananchi yeyote ana haki ya kufanya lolote ili mradi asivunje sheria. Bw Othman aulizwe sheria gani anayokuwa amevunja mwanachuo akivaa jeans iwe ya kubana au kuachia? Bw Othman atuonyeshe katika sheria za nchi au za chuo ni wapi pameanishwa urefu wa sketi ili isiwe kimini, mitindo ya nywele au upana wa suruali. Tunafahamu sheria inakataza mtu mzima na mwenye akili timamu kuwa uchi hadharani, na imedefine uchi kuwa ni hali ya mtu kutokuvaa nguo zinazositiri uke/uume. Kuna nchi nyingine hairuhusiwi hata kuonyesha matiti nje, lakini kwa Tanzania haikatazwi, na ndio maana sio kitu cha ajabu kuwaona kina mama wakiwa vifua wazi.

Tunafahamu kuwa zipo tamaduni za makabila tofauti ya kitanzania, na kati ya hizo zipo za uvaaji zinazoruhusu sehemu kubwa ya mwili kuachwa wazi.

Kwa mantiki hiyo, kitendo cha uongozi wa CBE kuwazuia kusoma wanafunzi wanaovaa baadhi ya mitindo ya nguo na nywele, ambayo kwa uhakika wangu ni kuwa haivunji sheria za nchi, na wanaovaa ni watu wenye akili timamu na wanajua wanachokifanya, ni kitendo cha kizandiki, na kinafiki, na cha kipumbavu.

Sasa wewe tatizo lako nini ulitaka waendelee kuvaa vimini uwachungulie?Kama unajiamini sheria zimevunjwa nenda mahakamani ukapinge.
 
I am of the view that Mr. Othman need to be congratulated for what he has done at CBE. HOJA ZA MLETA UZI HAZINA MASHIKO HATA KIDOGO.
 
Mwache aende pale RITA na bichi koma lake kama hajakodi bwanga bonge la suruali ili apate huduma. Au aamue kutotii ili asipate huduma...
Eti nayeye jamaa anajiita great thinker!
 
Back
Top Bottom