beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 523
usishangae na sio cbe peke yake walianza saut sahiv mambo yapo shwarii watu washazoea kuvaa zao sket na gaun hhahahaha na inavoenda mpaka vyup vyote itakuwa hivoo chezea maadili wewe bt in other hand inasaidia kuwashape watu fulan fulan kuna watu wanavaa hovyo jamn hakuna mfano sasa na huko kuboost ziwa lataka lifike shingon uan akiinama linatoka