Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Dou hivi katika hali yoyote mwanaume anaweza lalamika mapenzi yamehamia kwa mtoto kweli? mi nahisi wametofautiana kuna wababa wanawapenda watoto wao kuliko mpaka anaweza kuona kama unakosea kumlea mtoto.Huyu jamaa anatakiwa kupimwa akili, na huyo mama ananyonyesha bado anaselebuka tu! ndio maana watoto wengine wanakosa afya kabisa