Kuua mtoto ili kufaidi mapenzi

kakuruvi

JF-Expert Member
Sep 2, 2009
770
256
Wakuu hii kitu mapenzi usipokuwa makini unaweza kufanya maamuzi mabaya, kuna tetesi kuwa kuna jamaa mmoja aligundua baada ya kuwa na mtoto mchanga, mapenzi ya mkewe yalihamia kwa mtoto hivyo akajisikia wivu na kuamua kumuua mtoto ili mapenzi yarudi kwake kama mwanzo.

Alichofanya asubuhi moja alipaka sumu kwa hila kwenye chuchu za mkewe akitarajia mtoto akinyonya atadhurika kisha akaondoka kwenda kazini. Mchana akapigiwa simu kwamba kuna msiba nyumbani kwake, huku akijua kinachoendelea akawataarifu rafiki zake kwamba amefiwa na mwanae.

Lahaula,! alipofika nyumbani alipigwa butaa kumuona mwanae mzima na aliyekufa ni House Boy. WanaJF akili kumkichwa unaielewaje hii?
 
Wakuu hii kitu mapenzi usipokuwa makini unaweza kufanya maamuzi mabaya, kuna tetesi kuwa kuna jamaa mmoja aligundua baada ya kuwa na mtoto mchanga, mapenzi ya mkewe yalihamia kwa mtoto hivyo akajisikia wivu na kuamua kumuua mtoto ili mapenzi yarudi kwake kama mwanzo.

Alichofanya asubuhi moja alipaka sumu kwa hila kwenye chuchu za mkewe akitarajia mtoto akinyonya atadhurika kisha akaondoka kwenda kazini. Mchana akapigiwa simu kwamba kuna msiba nyumbani kwake, huku akijua kinachoendelea akawataarifu rafiki zake kwamba amefiwa na mwanae.

Lahaula,! alipofika nyumbani alipigwa butaa kumuona mwanae mzima na aliyekufa ni House Boy. WanaJF akili kumkichwa unaielewaje hii?
huyo jamaa ni mnyama wa porini aliyeuvaa mwili wa kibinadamu.
 
Naielewa kama ushuhuda wa namna binadamu anavyoweza kuwa mkatili,aliyekosa uvumilivu na mwenye kukosa uaminifu kwa Mungu na kwa binadamu wenzie! aliyesababisha kifo ni baba/mume na bosi wa houseboy!!!
 
Naielewa kama ushuhuda wa namna binadamu anavyoweza kuwa mkatili,aliyekosa uvumilivu na mwenye kukosa uaminifu kwa Mungu na kwa binadamu wenzie! aliyesababisha kifo ni baba/mume na bosi wa houseboy!!!
I am missing you alot dear.
 
sijaelewa bado,wakati anapaka sumu kwenye hayo maziwa ya mkewe,alikuwa kalala fofofo au?yani mtu ananipaka sumu in my nyonyozi nimelala tu?
Huyo house boy ananyonya ya mtu anaenyoshesha?mbn kama hainiingii akilini?
watu hawana kinyaa eeeh?tam ya toto inatoka maziwa mtu ananyonya?
 
Kama ni kweli huyo baba ana roho mbaya ya kinyama
anakuwa na wivu na mtoto wake kupewa mapenzi na mamaye
alishindwa nini kuongea na mkewe kuhusu mabadiliko ya mapenzi yao
alifikiri mapenzi yapo kwa mtoto kumbe kwa h/boy
 
No other animal is as cruel as the homo sapien....nategemea huyo mwanamke baada ya kugundua atamuacha solemba sasa sijui atakua amepata faida gani!!Binadamu sijui tunaelekea wapi jamani....yani mtu anamuua mtoto wake kisa mapenzi!Kweli laana iliyopo juu yetu ni zaidi ya tunavyoweza kifikiri!!!RIP kichanga cha watu!!!
 
Wakuu hii kitu mapenzi usipokuwa makini unaweza kufanya maamuzi mabaya, kuna tetesi kuwa kuna jamaa mmoja aligundua baada ya kuwa na mtoto mchanga, mapenzi ya mkewe yalihamia kwa mtoto hivyo akajisikia wivu na kuamua kumuua mtoto ili mapenzi yarudi kwake kama mwanzo.

Alichofanya asubuhi moja alipaka sumu kwa hila kwenye chuchu za mkewe akitarajia mtoto akinyonya atadhurika kisha akaondoka kwenda kazini. Mchana akapigiwa simu kwamba kuna msiba nyumbani kwake, huku akijua kinachoendelea akawataarifu rafiki zake kwamba amefiwa na mwanae.

Lahaula,! alipofika nyumbani alipigwa butaa kumuona mwanae mzima na aliyekufa ni House Boy. WanaJF akili kumkichwa unaielewaje hii?

Nimeelewa kuwa: House boy alinyonya maziwa ya dogo!!!! Mshahara wa dhambi ni mauti. Na unajua ni nini? Dogo ni malaika wa Mungu ndo maana mauti hayakumkuta. Sijui jamaa alimwangaliaje mke wake, Jamani!!!! Kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya filauni.
 
Mimi nimeielewa kwa maana 2
1. yawezekana h. boy alikunywa maziwa ya mtoto
2. Huwezi jua kama H. boy ana date na yule mamaje, siunajua tena mambo ya romance watu wengine wananyonya hadi nyoyo za dadaz.

Still in dilema
 
Alinyonya nyonyo za mama, kumbe mzeee akiondoka h.boy anajisevia na huenda hata huyo mtoto c wake mimi kama ningemjua ningemshauri akampime dna huyo mtoto, kamuua mgoni wake bana,ajabu!
 
hata mimi naona hiyo ndio sawa kabisa kamuua mgoni wake.....hahahhhahah
hiyo haina shida kabisa
 
Wa JF, What is the issue here? Jamaa kaua au mkewe alikuwa analiwa na House boy?

Double faces of shetani!
 
Hii ni perfect gift kwa mgoni! Ukila va watu unategemea nini? haya yanatukuta wakina dada tunaovizia waume za watu, mamaa akishtuka tu kwa kalimanzira! I wish wanaume nao wangekuwa na sehemu ya kutegewa sumu wake zao wawategee.... vilio vingekuwa kila mtaaa.. tehe tehe tehe,
 
Nimeelewa kuwa: House boy alinyonya maziwa ya dogo!!!! Mshahara wa dhambi ni mauti. Na unajua ni nini? Dogo ni malaika wa Mungu ndo maana mauti hayakumkuta. Sijui jamaa alimwangaliaje mke wake, Jamani!!!! Kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya filauni.

Safina umepata!!! Yule jamaa alipoondoka h/boy almmega huyu mama na siunajua malavidavii nyonya sana chuchu, na baada ya hapo mama alioga ili asimbemende mtoto, ''HILO NDIO KOSA LA MAREHEMU''
 
Wakuu hii kitu mapenzi usipokuwa makini unaweza kufanya maamuzi mabaya, kuna tetesi kuwa kuna jamaa mmoja aligundua baada ya kuwa na mtoto mchanga, mapenzi ya mkewe yalihamia kwa mtoto hivyo akajisikia wivu na kuamua kumuua mtoto ili mapenzi yarudi kwake kama mwanzo.

Alichofanya asubuhi moja alipaka sumu kwa hila kwenye chuchu za mkewe akitarajia mtoto akinyonya atadhurika kisha akaondoka kwenda kazini. Mchana akapigiwa simu kwamba kuna msiba nyumbani kwake, huku akijua kinachoendelea akawataarifu rafiki zake kwamba amefiwa na mwanae.

Lahaula,! alipofika nyumbani alipigwa butaa kumuona mwanae mzima na aliyekufa ni House Boy. WanaJF akili kumkichwa unaielewaje hii?


Kakuruvi nilipokua nasoma roho imeniuma kweli nikajua the wife mwenyewe ndo kafariki... mawazo haya!!.. kukuta house boy.. nimeshindwa hata la kuandika... kwamba house boy alikua anatoka na huyo mama au???
 
sijaelewa bado,wakati anapaka sumu kwenye hayo maziwa ya mkewe,alikuwa kalala fofofo au?yani mtu ananipaka sumu in my nyonyozi nimelala tu?
Huyo house boy ananyonya ya mtu anaenyoshesha?mbn kama hainiingii akilini?
watu hawana kinyaa eeeh?tam ya toto inatoka maziwa mtu ananyonya?


Hata mimi hainiingii akilini hata kidogo bana, sio rahisi mbaba kufanya hivyo unless ungeniambia aligundua mtoto si wake bali ni wa yule mwizi alokua anamhisi na matokeo yake mtoto katokea hivyo hivyo na baba anampenda bado mke wake ndio kaamua kumuua mtoto.
 
Sasa hapo mambo yamekuwa mambo amejua kuwa mkewe sio mwaminifu......na kaua....napata kigugumizi
 
mmmh lkn sumu hiyo sumu gani ambayo mzazi mwenzio anakupaka kwenye maziwa bila kuwaza madhara yake?kama anawasiwasi na mtu kumuibia mkewe si angepaka sumu kwenye naniliu?na mama huyo wakati anapakwa hiyo sumu alikuwa kalwa tila lila?me hata sielewi
Hata mimi hainiingii akilini hata kidogo bana, sio rahisi mbaba kufanya hivyo unless ungeniambia aligundua mtoto si wake bali ni wa yule mwizi alokua anamhisi na matokeo yake mtoto katokea hivyo hivyo na baba anampenda bado mke wake ndio kaamua kumuua mtoto.
 
mmmh lkn sumu hiyo sumu gani ambayo mzazi mwenzio anakupaka kwenye maziwa bila kuwaza madhara yake?kama anawasiwasi na mtu kumuibia mkewe si angepaka sumu kwenye naniliu?na mama huyo wakati anapakwa hiyo sumu alikuwa kalwa tila lila?me hata sielewi

Mie nazimia tu signature yako sijui nikaribie nipige hodi?? Dah nimekufa na nimeoza juu yako bibie!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom