Didia
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 719
- 258
Ahsante sana ndg kwa kuanzisha mada hii japo Kuna upungufu kidogo lakini Ina ukweli mwingi.
Mimi kwa zaidi ya miaka 5 nimekuwa natumia unit 60-65 kwa mwezi. Sikuzote nalipa gharama ya watumiaji wa kati. Kwa mwezi bili yangu Imekuwa elf30.
Nilifanya tathimini ya kina ninatumia unit 2 kwa siku. Nina friji moja ndogo, pasi, radio na heater ya kuchemsha maji ya kuoga. Siwashi taa za nje japo kwa dharula. Nina vyumba 3 na sebule.
Nilitegemea labda Kwakuwa unakuwa unanunua umeme kila mwezi unaingizwa kwenye kundi husika automatic. Lakini sio hivyo. Nilijaribu kufuatilia tanesco Kuna figisu nyingi. Mara andika barua nikaandika hakuna mabadiliko. Nimefuatilia Kuna watu wengi wanaotumia chini ya unit 75 lakini wanalipiswha bei ya juu.
Nina nyumba mkoa mwingine nililazimika zinitoke kidogo ndo nikaingizwa kwenye taarifu sahihi. Wanakaa wapangaji na bill haizidi elfu kumi Maana matumizi yao ni chini ya 75. Kwa nyumba ninakoishi kwa sasa nimeamua Ngoja nitulie tu ila kwa sababu nitahama soon. ila nikihamia kwangu mwezi ujao nitakomaa.
Tanesco wanawaibia wengi katika hili amini usiamini
Mimi kwa zaidi ya miaka 5 nimekuwa natumia unit 60-65 kwa mwezi. Sikuzote nalipa gharama ya watumiaji wa kati. Kwa mwezi bili yangu Imekuwa elf30.
Nilifanya tathimini ya kina ninatumia unit 2 kwa siku. Nina friji moja ndogo, pasi, radio na heater ya kuchemsha maji ya kuoga. Siwashi taa za nje japo kwa dharula. Nina vyumba 3 na sebule.
Nilitegemea labda Kwakuwa unakuwa unanunua umeme kila mwezi unaingizwa kwenye kundi husika automatic. Lakini sio hivyo. Nilijaribu kufuatilia tanesco Kuna figisu nyingi. Mara andika barua nikaandika hakuna mabadiliko. Nimefuatilia Kuna watu wengi wanaotumia chini ya unit 75 lakini wanalipiswha bei ya juu.
Nina nyumba mkoa mwingine nililazimika zinitoke kidogo ndo nikaingizwa kwenye taarifu sahihi. Wanakaa wapangaji na bill haizidi elfu kumi Maana matumizi yao ni chini ya 75. Kwa nyumba ninakoishi kwa sasa nimeamua Ngoja nitulie tu ila kwa sababu nitahama soon. ila nikihamia kwangu mwezi ujao nitakomaa.
Tanesco wanawaibia wengi katika hili amini usiamini