Hotel imejengwa miaka ya 1800's kwa hiyo itakuwa ni miaka hiyo hiyo!
Panafaa mkuu.
Wana umeme wa hakika kabisa sasa hivi tokana na gesi ya mnazi bay.
Lakini bahari na beaches zake pia zinavutia kuliko kawaida.
Uvuvi unaweza kuwa kitega uchumi kingine kizuri.
Wana karibu kila zao lakini wanavuna chumvi ambayo ni lulu kama vile waarabu wanavyojivunia mafuta. Kwani nani anaweza kula bila chumvi? na wanayo minazi na mikorosho kibao.
Bara bara ni nzuri, hasa baada ya kile kipande kidogo cha kilometa 60 ambacho kiko under construction kwisha, kwenda huko itakuwa ni raha kabisa.
Lakini kuna watu wengi sana jambo ambalo linaonyesha kuwa unaweza kufanya biashara.
Kumbuka ni mpakani pia.
Wana bandari.
Kwangu naona panafaa.
shukran nyingi hata mimi nitafurahi kama utaondoa hii water mark na pia umenikumbusha miaka yangu niloishi hapo Mtwara, karinbu na kanisa la Parish nafiokiri ndio lenyewe kwenye picha jee FIN club iko bado ? nitafurahi kuona picha za historical sites za Mikindani pia kwenye majengo ya historia .pia kama kuna uwezekano wa kuwasiliana nje ya ukumbi nitafurahi pia namaskarblue@gmail.com
Umeambiwa hiyo Boma hotel yenyewe Serikali walishindwa kutunza wakapewa jeshi la polisi wakashindwa mpaka alipopewa Muingereza. Inatia huruma sana.Nadhani itakuwa mwishoni mwishoni mwa 1800. Sidhani kama ni mwanzoni mwanzoni mwa karne. Hata hivyo ni thawabu kubwa sana kutunza samani za kihistoria.
Inawezekana kwamba viwanja vingi ni vya wawekezaji wa mahotel lakini pale naona ipo hiyo moja tu ya Boma Hotel na hakuna hata hotel moja inayokuwa constructed kwenye maeneo hayo.One of my favorite place of all time is Mikindani.
Nasikia siku hizi huwezi kupata kiwanja Mikindani wawekezaji wamenunua sehemu kubwa ya ardhi kwa aijili ya mahoteli makubwa, je hii ni kweli?
nayakubali maneno yako muheshimiwa...ila serikali imeibania sana mikoa ya kusini...hakuna maendeleo kabisa...Mtwara has always been good, beautiful and unspoiled....
The sand on the beach, sugary white...
Huo ndio ukweli mwingine wa wazi wazi.Pamoja na uzuri wa mkoa wao watu wa Mtwara hawajui kabisa mambo ya biashara.Sijui ni uvivu au ni kitu gani.Inabidi wajasiriamali wawahi kujichotea mipesa huko.
Ni kweli mabaya tutayaonyesha lakini na mazuri pia tuyakubali. Hiyo ndio Mtwara. Wana Mtwara mpo?afadhali weye umeamua kuonesha mambo mazuri ya Mtwara...mwingine angekwenda kupiga picha mbayambaya na kuzileta hapa....big up mkuu