tl: Mabadiliko ya katiba znz yameua upinzani znz. Huku bara ccm na cuf wanashirikiana ktk uchaguzi. Cuf hawawezi kupinga la ccm.
Mwenyekiti wa mdahalo ni rosemary mwakitange
Mdahalo umeanza
Mwenyekiti anasema wajadil kwa aman,anasema hii ni njia pekee ya wabunge kuanza na wapga kura,anaanza kuulza maswal
...........hawawezi kuchuana na Lissu face to face, hawawezi;Mwnykt(R.Mwakitwange): Kombani na Mwanasheria mkuu walitoa udhuru.
Tundu anaongea kwa hisia
cuf ni junior partners wa c.c.m
Lissu, muswada umeletwa bungeni tarehe 5 NOv.
Mnyaa anaweka sawa mambo,kuwa CUF ni chama cha upinzani.