johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,104
Tanzania imependekeza Uwepo Mdahalo wa Wagombea wa Nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Africa
Mdahalo huo utawezesha nchi Wanachama kutambua Maono ya Wagombea watakaochaguliwa, amefafanua Makamba
Aidha imesisitiza Uchaguzi huo Kuzingatia taratibu na Kanuni za Uchaguzi
---
Tanzania imependekeza kufanyika mdahalo kwa wagombea wa nafasi ya mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika ili kutoa nafasi kwa wananchi wa nchi wanachama kutambua maono ya wagombea watakaochaguliwa.
Aidha, imesisitiza uchaguzi huo kuzingatia kanuni na taratibu za uchaguzi zikiwemo uwazi, uwezo wa wagombea na usawa wa kijinsia.
Source: Swahili Times
Mdahalo huo utawezesha nchi Wanachama kutambua Maono ya Wagombea watakaochaguliwa, amefafanua Makamba
Aidha imesisitiza Uchaguzi huo Kuzingatia taratibu na Kanuni za Uchaguzi
---
Aidha, imesisitiza uchaguzi huo kuzingatia kanuni na taratibu za uchaguzi zikiwemo uwazi, uwezo wa wagombea na usawa wa kijinsia.
Source: Swahili Times