Kibona
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 1,023
- 652
Wamefanya kazi waliyotumwa, wamewakilisha sie tusiotaka kuburuzwa na ccm kama magari mabovu kwa hiyo wanastahili posho.Swali kaulizwa Tundu Lissu,
kwa nini wanatoka bungeni halafu mnachukuwa posho wakati hata kazi mliotumwa na wananchi hamkufanya?