Tulia naona ameandamwa sana... kila akitaka kujibu kwa maelezo marefu watu hawataki (upinzani).... noma sana, ila si sawa, upinzan inabid wawe na busara sio kila siku kutaka kitu watakavyo wao... mtu akitaka kujibu mnamvamia kwa maneno... sio sawa
Kumbukumbu hizo hizo zinaonesha Kikwete Ndio muanzilishi wa kukimbia midahalo.
Haiwezekani upumbavu wa aina hio kufanyika,akatakiwa mwanasheria halafu wakanominate watu wa aina hio, huo ni ushabiki wako tu
Mkuu, mbona kuna mahawara kibao tu wa viongozi wa upinzani kwenye kambi ya upinzaji? Dr Tulia kawazidi sana wwbubge wq upinzani hasa kwenye uga wq sheria. Pia wana hasira naye baada ya kushindwa kwao kwenye kesi ya mita 200
Sijasoma sheria ili huu upuuz nimeuelewa!!!! TULIA KAKUBALI KUA MWANASHERIA WA SERIKALI HARUHUSIWI KUA NA CHAMA NA ALIPOCHUKUA FORM YA USPIKA HAKUA NA CHAMA...which is right!!! Swali; RAIS KAMTEUA KUA MBUNGE ASUBUH AKIWA HANA CHAMA MUDA HUO HUO AKACHUKUA FORM KUGOMBEA UNAIBU SPIKA KUPITIA CCM!!!! Kadi ya uanachama alikua nayo?? Maana unapogombea unaibu kupitia ccm ina maana ww ni mwanachama halali wa cham hicho!!!!!! Yy hakua na chama aliwezaje kugombea kupitia ccm??? JIBU LAKE YY TULIA AKATOA MAKUNDI MATATU AMBAYO HAYARUHUSIWI KUA NA CHAMA NA YEYE KMA MWANASHERIA WA SERIKALI KAJITOA KATIKA HAYO MAKUNDI!!!! Ina maana anakubali kua alipokua mwanasheria tayr alikua na chama cha siasa kitu ambacho ni kinyume na sheria na mwanzon alikiri kua mwanasheria mkuu wa serikali haruhusiw kua kada wa chama cha kisiasa...HILI NI SWALI MOJA TU MENGINE YOTE HAKUJIBU...ALIJIBU NJE YA SWALI!!!! Ila bado anaitwa msomi!!! Na ccm wakampigia makofi..NA ALIJIBU KWA VIFUNGU VYA SHERIA..NI KILAZA TU HANA JINA LINGINE
Sijasoma sheria ili huu upuuz nimeuelewa!!!! TULIA KAKUBALI KUA MWANASHERIA WA SERIKALI HARUHUSIWI KUA NA CHAMA NA ALIPOCHUKUA FORM YA USPIKA HAKUA NA CHAMA...which is right!!! Swali; RAIS KAMTEUA KUA MBUNGE ASUBUH AKIWA HANA CHAMA MUDA HUO HUO AKACHUKUA FORM KUGOMBEA UNAIBU SPIKA KUPITIA CCM!!!! Kadi ya uanachama alikua nayo?? Maana unapogombea unaibu kupitia ccm ina maana ww ni mwanachama halali wa cham hicho!!!!!! Yy hakua na chama aliwezaje kugombea kupitia ccm??? JIBU LAKE YY TULIA AKATOA MAKUNDI MATATU AMBAYO HAYARUHUSIWI KUA NA CHAMA NA YEYE KMA MWANASHERIA WA SERIKALI KAJITOA KATIKA HAYO MAKUNDI!!!! Ina maana anakubali kua alipokua mwanasheria tayr alikua na chama cha siasa kitu ambacho ni kinyume na sheria na mwanzon alikiri kua mwanasheria mkuu wa serikali haruhusiw kua kada wa chama cha kisiasa...HILI NI SWALI MOJA TU MENGINE YOTE HAKUJIBU...ALIJIBU NJE YA SWALI!!!! Ila bado anaitwa msomi!!! Na ccm wakampigia makofi..NA ALIJIBU KWA VIFUNGU VYA SHERIA..NI KILAZA TU HANA JINA LINGINE
Kadi ya CCM hata wewe ukiitaka njoo hapa nikupe sasa hivi. Hivi ujiulizi Lowassa ameanza lini kuwa mwanachama wa CHADEMA na lini kuwa mgombea urais wa CHADEMA....sembuse Uspika!? Au Unaibu spika!? Jiulize kama kwenye urais iliwezekana....kwanini unaibu wa spika iwe ngumu kumeza!? Hahahaha
Lowasa alipata kura milioni kumi
Ameshindwa kujibu swali lakini ameshinda!kashindwa kujibu swali hakuna mtu hapo
Kinachoendelea Bungeni kwenye mchakato wa Uchaguzi w Naibu Spika, Nimeanza kuingiwa na hofu na hawa wanaoitwa Madokta (Kielimu).
Dr Tulia ni kielelezo cha wasomi wetu ambao kichwani ni weupe, dada hajui kujieleza kabisa.
Walaka wa watumishi wa umma mwaka 2000
Huwezi kumlinganisha Tulia na sakaya.acheni utani Tulia ni habari nyingine ndio mana ukawa walimuogopa sana.Kwa siasa za kibongo, uwezo mahaba kwanza!!!! Hata kama kukitokea nafasi yoyote bungeni inayohitaji mwanasheria, si ajabu AIRO/LUSINDE akamshinda tundu lisu, kupitia kura. Siasa za kishamba sana.
Sijasoma sheria ili huu upuuz nimeuelewa!!!! TULIA KAKUBALI KUA MWANASHERIA WA SERIKALI HARUHUSIWI KUA NA CHAMA NA ALIPOCHUKUA FORM YA USPIKA HAKUA NA CHAMA...which is right!!! Swali; RAIS KAMTEUA KUA MBUNGE ASUBUH AKIWA HANA CHAMA MUDA HUO HUO AKACHUKUA FORM KUGOMBEA UNAIBU SPIKA KUPITIA CCM!!!! Kadi ya uanachama alikua nayo?? Maana unapogombea unaibu kupitia ccm ina maana ww ni mwanachama halali wa cham hicho!!!!!! Yy hakua na chama aliwezaje kugombea kupitia ccm??? JIBU LAKE YY TULIA AKATOA MAKUNDI MATATU AMBAYO HAYARUHUSIWI KUA NA CHAMA NA YEYE KMA MWANASHERIA WA SERIKALI KAJITOA KATIKA HAYO MAKUNDI!!!! Ina maana anakubali kua alipokua mwanasheria tayr alikua na chama cha siasa kitu ambacho ni kinyume na sheria na mwanzon alikiri kua mwanasheria mkuu wa serikali haruhusiw kua kada wa chama cha kisiasa...HILI NI SWALI MOJA TU MENGINE YOTE HAKUJIBU...ALIJIBU NJE YA SWALI!!!! Ila bado anaitwa msomi!!! Na ccm wakampigia makofi..NA ALIJIBU KWA VIFUNGU VYA SHERIA..NI KILAZA TU HANA JINA LINGINE