kashindwa kujibu swali hakuna mtu hapo
Hana uwezo wa kuongoza bunge.. Hawezi kujieleza,,ni kilaza kweli kweli,, nina wasiwasi na elimu yake
Dr Tulia ameshindwa kujibu maswali anaonekana amature tu mbele ya nguli wa sharia ...
Kashindwa nn wakati sio kila swali ni swali
namshangaa mleta mada. fananisha na Bunge la Kenya ni AIBU INASIKITISHA?...
Kinachoendelea Bungeni kwenye mchakato wa Uchaguzi w Naibu Spika, Nimeanza kuingiwa na hofu na hawa wanaoitwa Madokta (Kielimu).
Dr Tulia ni kielelezo cha wasomi wetu ambao kichwani ni weupe, dada hajui kujieleza kabisa.
Pole sana. Kwa hiyo ulitaka ateuliwe Joyce Mukya, hawara wa Freeman Mbowe?