Mwanangu ili uwe na haki ya kutoa mawazo fanya utafiti! Kama kanisa limepewa mamlaka kwamba WATAKALO LIFUNGIA/LIFUNGA DUNIANI BASI LIMEFUNGWA/LIMEFUNGULIWA MBINGUNI. Kumbe basi Kanisa katoliki haliwezi kumshinda MUNGU UJASIRI AMBAYE ALIWAADHIBU MALAIKA WALIO ASI kama hawatotubu upesi na kupokea msamaha Waende kwenye uislamu wakakufuru imani hiyo kama walivyo fanya waone si kutengwa na kuwapa fursa ya kutubu bali fatwa yao ni kukatwa kichwa ili wende upesi jehennam habari ndiyo hiyo mwanangu!
Haki ya kutowa mawanzo inakuja pale unapoamuwa kuingia kwenye hoja. Hivyo kuufananisha Ukiristo na Uislamu ndio mwisho wa utafiti wako? Hawa ni Wakristo na Yesu alizuia kuadhibiwa mzinzi kwa kuwataka wanaotaka kuadhibu kuhakikisha kuwa kama wao hawana makosa. sisi Waislamu tunamfata Kiongozi wetu Jee nyie Wakristo hamumfati Yesu? Hivyo tatizo lenu la Kikiristo unategemea lijibiwe na mtindo wa Kiislamu?
Zaidi ya hayo tuko Tanzania ambako hilo suwala la kukatwa kichwa halipo hivyo sijaona sababu ya wewe kulihusisha hilo na wanayofanya Wakiristo hao wanaojipa uwezo wa kimungu wa kuweza kutowa mtu kwenye dini.