Ile kauli eti tatizo ni mgombea wa CCM kuuelezea utatu katika hali ya kisiasa ndio iliyofanya waumini waliomuunga mkono watengwe proved not correct, ni propaganda tu za kanisa!
Ukweli unabaki palepale kwamba waumini wa kanisa katoliki Sumbawanga kama ilivyokuwa kwa nchi nzima walikataa maagizo ya kanisa ya kumnyima kura mgombea Ubunge wa CCM (Muislamu)na kumpa wa Chadema(mkristo), soma article ya mwanachi between the lines leo tarehe 25/12
Ukweli unabaki palepale kwamba waumini wa kanisa katoliki Sumbawanga kama ilivyokuwa kwa nchi nzima walikataa maagizo ya kanisa ya kumnyima kura mgombea Ubunge wa CCM (Muislamu)na kumpa wa Chadema(mkristo), soma article ya mwanachi between the lines leo tarehe 25/12
Kuhusu suala la mgombea wa CCM kukufuru utatu mtakatifu, yaani Mungu, mwana na roho, Kabanga alikanusha kuwepo na kitendo hicho na kueleza kuwa kauli zake zilitafsiriwa vibaya.
"Alichosema mgombea wetu ni kuhamasisha wanachama na wapenzi wake kuchagua mafiga matatu, mafiga matatu ambayo ni rais, mbunge na diwani na si vinginevyo," alisema Kabanga.
"Hata hivyo sisi kama chama tulimwita mgombea wetu na kumsihi kuacha kutumia maneno ambayo yanagusa imani kwenye kampeni zake," alisema Kabanga