Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Hi
wanateknolojia.
Kama mnavyojua nchi yetu ni ya kisiasa zaidi. Na hata sisi wenyewe tu wanasiasa. teh teh teh
Sasa nimepta wazo kutokana na mambo mazuri na mabaya yanatoea ingekuwa vizuri mtu au watu wanzishe web driven database amabyo itakuwa ina publish matukio ya kitaifa na matukio yanayogusa jamii as they happen.
Wazo hili sio Forum So input ya kwenye hii National event database itakuwa ni ya watu wengi lakini wenye haki ya kurushu event iwe published na ionekane kwenye kalenda ya matukio ya kitaifa itawekkwa kwa watu wacahche.
Kwa kuwa a sytem hii itakuwa rahisi kuona sarakasi na mazuri yote yanayofanyika kila siku mwezi na mwaka.
Natio nal event web -driven- Database inaweza kuwa but not limited na field hizi
X-x/2011 Kikao cha bajeti good Serikali, Bunge jamiiforums.com
X-X/2011 Mgao wa umeme bad Tanesco, Serikali jamiiforums.com , Tanes
x--x/2011 Ufunguzi wa UDOM good Serikali dalynews.com
Kwa wanaopenda kujifunza web developent
Haya hili ni wazo mtu yeyote hasa wanaowapenda mambo ya web anaweza kulifanyia kazi kuliko kila mtu kutaka kuanzisha forums zinazofananai.
kwa wataalamu
Kwa wataalmu wa mambo ya web naomba mniambie ni CMS gani naweza kutumia kutengeneza hii national event database au ni exntension gani zinatakiwa
Wakuu tuwe creative. kuna watu wako creative kwa ideas lakini hawawezi kufanya mambo na kuna watu wanaweza kufanya mambo lakini hawako creative. Ttaizola Tanzania ni haya maundi ya watu wa ina mbili hayaki pamja na kusikilizana.
Hureeee JF teknology
Nawasilisha
wanateknolojia.
Kama mnavyojua nchi yetu ni ya kisiasa zaidi. Na hata sisi wenyewe tu wanasiasa. teh teh teh
Sasa nimepta wazo kutokana na mambo mazuri na mabaya yanatoea ingekuwa vizuri mtu au watu wanzishe web driven database amabyo itakuwa ina publish matukio ya kitaifa na matukio yanayogusa jamii as they happen.
Wazo hili sio Forum So input ya kwenye hii National event database itakuwa ni ya watu wengi lakini wenye haki ya kurushu event iwe published na ionekane kwenye kalenda ya matukio ya kitaifa itawekkwa kwa watu wacahche.
Kwa kuwa a sytem hii itakuwa rahisi kuona sarakasi na mazuri yote yanayofanyika kila siku mwezi na mwaka.
Natio nal event web -driven- Database inaweza kuwa but not limited na field hizi
- Date
- Event
- good or bad
- Responsible authority
- Link to futher stories( kiunganisha cha magazeti blog na forum)
- etc
X-x/2011 Kikao cha bajeti good Serikali, Bunge jamiiforums.com
X-X/2011 Mgao wa umeme bad Tanesco, Serikali jamiiforums.com , Tanes
x--x/2011 Ufunguzi wa UDOM good Serikali dalynews.com
Kwa wanaopenda kujifunza web developent
Haya hili ni wazo mtu yeyote hasa wanaowapenda mambo ya web anaweza kulifanyia kazi kuliko kila mtu kutaka kuanzisha forums zinazofananai.
kwa wataalamu
Kwa wataalmu wa mambo ya web naomba mniambie ni CMS gani naweza kutumia kutengeneza hii national event database au ni exntension gani zinatakiwa
Wakuu tuwe creative. kuna watu wako creative kwa ideas lakini hawawezi kufanya mambo na kuna watu wanaweza kufanya mambo lakini hawako creative. Ttaizola Tanzania ni haya maundi ya watu wa ina mbili hayaki pamja na kusikilizana.
Hureeee JF teknology
Nawasilisha