Kutengeza national event database

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Hi
wanateknolojia.

Kama mnavyojua nchi yetu ni ya kisiasa zaidi. Na hata sisi wenyewe tu wanasiasa. teh teh teh

Sasa nimepta wazo kutokana na mambo mazuri na mabaya yanatoea ingekuwa vizuri mtu au watu wanzishe web driven database amabyo itakuwa ina publish matukio ya kitaifa na matukio yanayogusa jamii as they happen.

Wazo hili sio Forum So input ya kwenye hii National event database itakuwa ni ya watu wengi lakini wenye haki ya kurushu event iwe published na ionekane kwenye kalenda ya matukio ya kitaifa itawekkwa kwa watu wacahche.

Kwa kuwa a sytem hii itakuwa rahisi kuona sarakasi na mazuri yote yanayofanyika kila siku mwezi na mwaka.

Natio nal event web -driven- Database inaweza kuwa but not limited na field hizi
  • Date
  • Event
  • good or bad
  • Responsible authority
  • Link to futher stories( kiunganisha cha magazeti blog na forum)
  • etc
Eg mfano taarifa inayoweka kupatikana ni
X-x/2011 Kikao cha bajeti good Serikali, Bunge jamiiforums.com
X-X/2011 Mgao wa umeme bad Tanesco, Serikali jamiiforums.com , Tanes
x--x/2011 Ufunguzi wa UDOM good Serikali dalynews.com

Kwa wanaopenda kujifunza web developent

Haya hili ni wazo mtu yeyote hasa wanaowapenda mambo ya web anaweza kulifanyia kazi kuliko kila mtu kutaka kuanzisha forums zinazofananai.

kwa wataalamu
Kwa wataalmu wa mambo ya web naomba mniambie ni CMS gani naweza kutumia kutengeneza hii national event database au ni exntension gani zinatakiwa


Wakuu tuwe creative. kuna watu wako creative kwa ideas lakini hawawezi kufanya mambo na kuna watu wanaweza kufanya mambo lakini hawako creative. Ttaizola Tanzania ni haya maundi ya watu wa ina mbili hayaki pamja na kusikilizana.

Hureeee JF teknology

Nawasilisha
 
Hii unaweza kutengeneza in PHP/ASP.Net/Java in a day kama una uzoefu kidogo au kama wiki kama haujawahi kufanya ila purpose ya hii kitu itakuwa ni nini na itatengeneza vipi hela, au hii sio biashara? Yaani nini kitammotivate programmer kutengeneza hiki kitu.
 
Hii unaweza kutengeneza in PHP/ASP.Net/Java in a day kama una uzoefu kidogo au kama wiki kama haujawahi kufanya ila purpose ya hii kitu itakuwa ni nini na itatengeneza vipi hela, au hii sio biashara? Yaani nini kitammotivate programmer kutengeneza hiki kitu.

Programer mzoefu haiwezi kumotivate sababu hii haina faida. But maprogramer wapya na wanaopenda kujifunza inaweza kuwamotivate utengenza kitu fulani kipya na kujifunza..

Yaani inakuwa na sme features kama za blog few pepole can publish lakini anyone can comment or send advice event gani ziwe included.

So can u be an online consultant?

Si wazo baya. chapa code mkuu.
:typing:

Teh teh teh teh Xpaster nimebuka . Am always good in starting thing lakini tatizo ni kuvimalizia
 
Teh teh teh teh Xpaster nimebuka . Am always good in starting thing lakini tatizo ni kuvimalizia
Uwezi juwa mkuu, kuna siku utaona mawazo yako yakifanyiwa kazi na wenye uwezo wa kualizia mambo, ila hawajui jinsi ya kufikiria namna gani ya kufanya, ila ukiwaonyesha tu, utaona umahiri wao.
 
Hii unaweza kutengeneza in PHP/ASP.Net/Java in a day kama una uzoefu kidogo au kama wiki kama haujawahi kufanya ila purpose ya hii kitu itakuwa ni nini na itatengeneza vipi hela, au hii sio biashara? Yaani nini kitammotivate programmer kutengeneza hiki kitu.

Unaweza kunipa link ya articles na resources nzuri nazoweza kupitia maana uzoefu wangu ni kidogo nataka kuji upadate na haya mambo ya ICT
 
Kwa heshima na taadhima nachua idea yako then nitakupa credit mara tu mradi ukikamilika,please kama unaona kuna cha ziada let mi know.
Kama hautajari naomba private mmail yako ili tuone inakuwaje!!
 
Hi
wanateknolojia.

Kama mnavyojua nchi yetu ni ya kisiasa zaidi. Na hata sisi wenyewe tu wanasiasa. teh teh teh

Sasa nimepta wazo kutokana na mambo mazuri na mabaya yanatoea ingekuwa vizuri mtu au watu wanzishe web driven database amabyo itakuwa ina publish matukio ya kitaifa na matukio yanayogusa jamii as they happen.

Wazo hili sio Forum So input ya kwenye hii National event database itakuwa ni ya watu wengi lakini wenye haki ya kurushu event iwe published na ionekane kwenye kalenda ya matukio ya kitaifa itawekkwa kwa watu wacahche.

Kwa kuwa a sytem hii itakuwa rahisi kuona sarakasi na mazuri yote yanayofanyika kila siku mwezi na mwaka.

Natio nal event web -driven- Database inaweza kuwa but not limited na field hizi
  • Date
  • Event
  • good or bad
  • Responsible authority
  • Link to futher stories( kiunganisha cha magazeti blog na forum)
  • etc
Eg mfano taarifa inayoweka kupatikana ni
X-x/2011 Kikao cha bajeti good Serikali, Bunge jamiiforums.com
X-X/2011 Mgao wa umeme bad Tanesco, Serikali jamiiforums.com , Tanes
x--x/2011 Ufunguzi wa UDOM good Serikali dalynews.com

Kwa wanaopenda kujifunza web developent

Haya hili ni wazo mtu yeyote hasa wanaowapenda mambo ya web anaweza kulifanyia kazi kuliko kila mtu kutaka kuanzisha forums zinazofananai.

kwa wataalamu
Kwa wataalmu wa mambo ya web naomba mniambie ni CMS gani naweza kutumia kutengeneza hii national event database au ni exntension gani zinatakiwa


Wakuu tuwe creative. kuna watu wako creative kwa ideas lakini hawawezi kufanya mambo na kuna watu wanaweza kufanya mambo lakini hawako creative. Ttaizola Tanzania ni haya maundi ya watu wa ina mbili hayaki pamja na kusikilizana.

Hureeee JF teknology

Nawasilisha


Mimi nimechukua idea hii nanitaifanyia kazi baada ya miezi miwili ask me about this,please if possible naomba private email yako ili kama kuna kitu unadhani ni mhimu zaidi ya hapo uni-update!!!!!!!!!
Expect more credit from u'r idea
 
Back
Top Bottom