Kutaka Daktari awepo kazini muda wowote unaomuhitaji ni uonevu, mkitaka hivyo ongezeni pesa ya overtime

Sina mood

JF-Expert Member
Nov 15, 2018
205
1,323
Kumbuka udaktari ni kazi kama kazi zingine. Mtu mpaka anakuwa daktari ametumia gharama zake kufika hapo, hakushushwa tu puuuh akawa daktari.

Vilevile daktari kama wafanyakazi wengine wana muda wao wa kazi ambao kikawaida huwa ni masaa 8 baada ya hapo ana haki ya kufanya au kutofanya kazi mara baada ya muda wake wa kazi kuisha.

Sasa nyie mnataka kumpigia simu daktari usiku wa manane aje kazini bila kujali anaishi wapi na usafiri huko alipo upoje maana sehemu zingine ikishafika saa 4 za usiku usafiri huwa ni kipengele.

Mbaya zaidi akichelewa kuja au asipokuja mnamsimamisha kazi muda mwingine mnatishia kumfutia leseni lakini kuhusu kumuongezea pesa ya overtime hilo wala hamlifikirii.

SULUHISHO

1) Wapeni madaktari usafiri wa kutembelea (gari) mkishindwa sana pikipiki ili iwe rahisi kwao kufika kazini muda mtakao wahitaji

2) Walipeni overtime kulingana na muda watakao fanya kazi nje ya muda wa kawaida .

3) Ongezeni idadi ya madaktari maana wagonjwa ni wengi na daktari muda mwingine anafanya kazi shortcut ili kuwaondoa wagonjwa kwa haraka hivyo inapelekea kukosa correct diagnosis maana daktari hapati muda wa kutosha kuchukua history taking ya mgonjwa.
 
Kumbuka udaktari ni kazi kama kazi zingine
Ongezea nyama ya maelezo yako ueleweke?

- Unafanya KAZI Afya ngazi gani ( Zahanati, Kituo Cha Afya, Hospitali )

- Una nafasi gani hapo kituoni ( Daktari wa kawaida au Mganga Mfawidhi )

- Anayekupigia simu uende ni Nani ?
 
Hold on boy...🤚
Ebu usiichukulie kwamba wewe ni wamuhimu saaaaaana kuliko wengine.
Na uhaba wa watumishi ni mchache karibu kila idara serikalini.
Hapa naona kama umeleta hoja lakini mwisho umeweka majivuno meeeengi kana kwamba wewe tu ndio wamuhimi hadi serikali ikununulie usafiri.
Lakini mwisho kabisa, umesahau kanuni kuu ya watabibu ni wito, hivyo ukiona hauridhiki basi nivyema ukabadilisha fani ama kazi mapemaaa ukingali bado kijana kama nilivyo fanyaga mimi.
 
Kumbuka udaktari ni kazi kama kazi zingine
Mtu mpaka anakuwa daktari ametumia gharama zake kufika hapo hakushushwa tu puuuh akawa daktari.
Vilevile daktari kama wafanyakazi wengine wana muda wao wa kazi ambao kikawaida huwa ni masaa 8 baada ya hapo ana haki ya kufanya au kutofanya kazi mara baada ya muda wake wa kazi kuisha.

Sasa nyie mnataka kumpigia simu daktari usiku wa manane aje kazini bila kujali anaishi wapi na usafiri huko alipo upoje maana sehemu zingine ikishafika saa 4 za usiku usafiri huwa ni kipengele.

Mbaya zaidi akichelewa kuja au asipokuja mnamsimamisha kazi muda mwingine mnatishia kumfutia leseni lakini kuhusu kumuongezea pesa ya overtime hilo wala hamlifikirii.

SULUHISHO

1)Wapeni madaktari usafiri wa kutembelea (gari) mkishindwa sana pikipiki ili iwe rahisi kwao kufika kazini muda mtakao wahitaji

2)Walipeni overtime kulingana na muda watakao fanya kazi nje ya muda wa kawaida .

3) Ongezeni idadi ya madaktari maana wagonjwa ni wengi na daktari muda mwingine anafanya kazi shortcut ili kuwaondoa wagonjwa kwa haraka hivyo inapelekea kukosa correct diagnosis maana daktari hapati muda wa kutosha kuchukua history taking ya mgonjwa.
Shida hizo overtime hawalipi ipasavyo bado usumbufu mwingine wa kupigwa mikwara na MaDMO

Ukitaka huo uhuru njoo vijijini huku ata ukipigiwa simu unaweza goma na asiwepo wa kukufanya lolote maana hata wakubwa huko maofisini wanajua wengi hawapendi kuja huku .

Ila ukiwa town usifanye hivyo watakutimua .

Jana natoka kula urabu saa nane , my lovely wife kanifungulia mlango ile nimejiegesha mara simu inaita eti kuna labour

Nikajitizama na hizi pombe mimi niende labour nikasema siji huko nimelala mbali

Asubuhi diwani anapiga simu eti ana shida na mimi

Siendi ng'o niko nakunywa urabu hapa ili tukikutana niongee naye kizaramo ili asinizoee

Udaktari bongo ni utumwa sana yaani ni utumwa

Wakubwa sikieni tutauwa watu maana masilahi yenyewe ni sifuri tujari tuwajari watu wenu bila hivyo mtegemee wafu zaidi sio zahanati wala kwenye vituo vya afya lazima huduma ziwe hafifu.
 
Shida hizo overtime hawalipi ipasavyo bado usumbufu mwingine wa kupigwa mikwara na MaDMO

Ukitaka huo uhuru njoo vijijini huku ata ukipigiwa simu unaweza goma na asiwepo wa kukufanya lolote maana hata wakubwa huko maofisini wanajua wengi hawapendi kuja huku .

Ila ukiwa town usifanye hivyo watakutimua .

Jana natoka kula urabu saa nane , my lovely wife kanifungulia mlango ile nimejiegesha mara simu inaita eti kuna labour

Nikajitizama na hizi pombe mimi niende labour nikasema siji huko nimelala mbali

Asubuhi diwani anapiga simu eti ana shida na mimi

Siendi ng'o niko nakunywa urabu hapa ili tukikutana niongee naye kizaramo ili asinizoee

Udaktari bongo ni utumwa sana yaani ni utumwa

Wakubwa sikieni tutauwa watu maana masilahi yenyewe ni sifuri tujari tuwajari watu wenu bila hivyo mtegemee wafu zaidi sio zahanati wala kwenye vituo vya afya lazima huduma ziwe hafifu.
Mfumo wa Ajira na taratibu za utumishi zinafahamika.

Kama huna njaa za kibwege na hubebwi kwa Namna yoyote na uongozi, suala la kukukomalia ufanye mambo nje ya utaratibu wako wa kazi ni hiari yako.

Lakini Kama una makando kando yako wanayamezea then lazima UTUMIKE.
 
Shida hizo overtime hawalipi ipasavyo bado usumbufu mwingine wa kupigwa mikwara na MaDMO

Ukitaka huo uhuru njoo vijijini huku ata ukipigiwa simu unaweza goma na asiwepo wa kukufanya lolote maana hata wakubwa huko maofisini wanajua wengi hawapendi kuja huku .

Ila ukiwa town usifanye hivyo watakutimua .

Jana natoka kula urabu saa nane , my lovely wife kanifungulia mlango ile nimejiegesha mara simu inaita eti kuna labour

Nikajitizama na hizi pombe mimi niende labour nikasema siji huko nimelala mbali

Asubuhi diwani anapiga simu eti ana shida na mimi

Siendi ng'o niko nakunywa urabu hapa ili tukikutana niongee naye kizaramo ili asinizoee

Udaktari bongo ni utumwa sana yaani ni utumwa

Wakubwa sikieni tutauwa watu maana masilahi yenyewe ni sifuri tujari tuwajari watu wenu bila hivyo mtegemee wafu zaidi sio zahanati wala kwenye vituo vya afya lazima huduma ziwe hafifu.
Extra duty hawalipi Halmashauri Wala ofisi ya DMO. Utajilipa mwenyewe kulingana na makusanyo ya Kituo chako.

Kwahiyo Kama Kituo chako hakina pesa Hilo bado ni tatizo lako mwenyewe. Ukiongra utaambiwa kusanya pesa ujiandikie.

Wakati huo huo Wajawazito, Watoto, wazee ni BURE. Na hao ndio wanaokuja sana Hospitali.
 
Daktari inabidi alipwe angalau 3M kwa mwezi mbali na staiki zake zingine ili linawezekana kwa 100% kama tunawalipa wabunge 12M kwa nini daktari asilipwe angalau 3M ambayo bado ni ndogo.
Mbunge analipwa 3.8M.
 
Zamani waliitwa . doctor on call. muda wote usiku anakuwa standby,
Iko hivyo hata Sasa. Ila ni kuanzia ngazi ya Kituo Cha Afya.

Zahanati hakuna Hilo, ingawa wanakijiji wao na Wanasiasa wait hawajui Hilo.

Na hiyo CALL siyo bure wanalipwa.
 
Kumbuka udaktari ni kazi kama kazi zingine. Mtu mpaka anakuwa daktari ametumia gharama zake kufika hapo, hakushushwa tu puuuh akawa daktari.

Vilevile daktari kama wafanyakazi wengine wana muda wao wa kazi ambao kikawaida huwa ni masaa 8 baada ya hapo ana haki ya kufanya au kutofanya kazi mara baada ya muda wake wa kazi kuisha.

Sasa nyie mnataka kumpigia simu daktari usiku wa manane aje kazini bila kujali anaishi wapi na usafiri huko alipo upoje maana sehemu zingine ikishafika saa 4 za usiku usafiri huwa ni kipengele.

Mbaya zaidi akichelewa kuja au asipokuja mnamsimamisha kazi muda mwingine mnatishia kumfutia leseni lakini kuhusu kumuongezea pesa ya overtime hilo wala hamlifikirii.

SULUHISHO

1) Wapeni madaktari usafiri wa kutembelea (gari) mkishindwa sana pikipiki ili iwe rahisi kwao kufika kazini muda mtakao wahitaji

2) Walipeni overtime kulingana na muda watakao fanya kazi nje ya muda wa kawaida .

3) Ongezeni idadi ya madaktari maana wagonjwa ni wengi na daktari muda mwingine anafanya kazi shortcut ili kuwaondoa wagonjwa kwa haraka hivyo inapelekea kukosa correct diagnosis maana daktari hapati muda wa kutosha kuchukua history taking ya mgonjwa.
Sawa MD3, tumekusikia.
 
Poleni sana ndugu zetu, msilalamike sana kuupigania uhai wetu watanzania wenzenu, bali muone fahari kujitoa katika kupigania maisha yetu.

Naomba kuwasilisha.
 
Na wangeongeza nafasi za ajira kwa hio fani maana wanaelemewa sana
 
Back
Top Bottom