mwakabembe
Member
- Apr 27, 2012
- 11
- 0
Nimekuwa nikishangaa sana , eti waziri anasema matokeo haya nimabaya sana wanataka kuunda tume kuchunguza kwa nini?
Ndugu zangu hakuna haja ya kuchunguza mataizo yaliyo wazi. Mfano walimu wanadai madeni serikali inasema inafanya uhakiki
basi walimu wameamua kuwa kwenye cold mgomo hadi serikali itakapo maliza kuhakiki madai yao.
JAMBO LA KUSHANGAZA ZAIDI NIPALE AMBAPO MASWALA HAYA HUINGIZWA KWENYE SIASA, ELIMU NA SIASA HAVIENDI KABISA
KILA MTU ANAFUNDISHA HATA WALIO FELI WANAVITUO VYA TUITION HATUWEZI KUBORESHA ELIMU NAMNA HII
Ndugu zangu hakuna haja ya kuchunguza mataizo yaliyo wazi. Mfano walimu wanadai madeni serikali inasema inafanya uhakiki
basi walimu wameamua kuwa kwenye cold mgomo hadi serikali itakapo maliza kuhakiki madai yao.
JAMBO LA KUSHANGAZA ZAIDI NIPALE AMBAPO MASWALA HAYA HUINGIZWA KWENYE SIASA, ELIMU NA SIASA HAVIENDI KABISA
KILA MTU ANAFUNDISHA HATA WALIO FELI WANAVITUO VYA TUITION HATUWEZI KUBORESHA ELIMU NAMNA HII