green29
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 311
- 41
Mods, nimenyanyaswa sana, nimefedheheshwa sana, sikusikilizwa, naomba hii thread yangu ijiuzuru, maana ipo inayoshabihiana nayo. tatizo ni hii thread yangu...
Kaaaazi kwelikweli!!!
Mods, nimenyanyaswa sana, nimefedheheshwa sana, sikusikilizwa, naomba hii thread yangu ijiuzuru, maana ipo inayoshabihiana nayo. tatizo ni hii thread yangu...
Ninalichukulia jibu lako hilo kuwa ni 'Ndio' mradi mwananchi huyo havunji sheria.
Nadhani nimejitahidi, kwa maana nimesoma x10 kama ulivyosema mwalimu.
Kuna agenda ya siri kuhusu haya maandamano. Hakuna demokrasia ya namna hiyo katika Tanzania kwa sasa labda miaka 20 ijayo.
Kama uhuru wa namna hiyo upo katika Tanzania basi wana JF twendeni tukaandamane kutaka serikali ituambie ukweli ni kiasi gani kilichochotwa toka BOT (EPA), Kampuni ya meremeta na tangold zililipwa kiasi gani, kwanini na lini?. Na pia tutake Mkapa&Co wakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na bila kusahau Lowassa & CO. Kama tutaweza kuandamana bila ya kupigwa virungu, mabuti, mabomu ya machozi na Polisi + FFU ambavyo ni vyombo vya mabavu na mali CCM tokana na ukweli kwamba Polisi, FFU, Usalama wa Taifa wapo kwa ajili ya kuilinda CCM na wala si kuwalinda Watanzania basi nitasema sasa Tanzania kuna demokrasia.
Haya ni maandamano ya kidini kwani yameanzia misikitini na kuandaliwa na mashehe. Kitu cha kujiuliza ni kwanini yamepata kibali na baraka toka serikalini?????????
Kuna agenda ya siri kuhusu haya maandamano. Hakuna demokrasia ya namna hiyo katika Tanzania kwa sasa labda miaka 20 ijayo.
Kama uhuru wa namna hiyo upo katika Tanzania basi wana JF twendeni tukaandamane kutaka serikali ituambie ukweli ni kiasi gani kilichochotwa toka BOT (EPA), Kampuni ya meremeta na tangold zililipwa kiasi gani, kwanini na lini?. Na pia tutake Mkapa&Co wakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na bila kusahau Lowassa & CO. Kama tutaweza kuandamana bila ya kupigwa virungu, mabuti, mabomu ya machozi na Polisi + FFU ambavyo ni vyombo vya mabavu na mali CCM tokana na ukweli kwamba Polisi, FFU, Usalama wa Taifa wapo kwa ajili ya kuilinda CCM na wala si kuwalinda Watanzania basi nitasema sasa Tanzania kuna demokrasia.
Haya ni maandamano ya kidini kwani yameanzia misikitini na kuandaliwa na mashehe. Kitu cha kujiuliza ni kwanini yamepata kibali na baraka toka serikalini?????????