Mtu wa Mungu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 444
- 19
Source: Gazeti la MTANZANIA toleo la Jumanne 16 Novemba, 2010, Uk 1 na 2:
Mtikila naye bwana, is he serious? Kama atakuwa serious this time itakuwa safi saaaana!
Mch. Chris hapa kuna miongoni mwa points za nyongeza kwa Liberty Desk yako katika kesi hii:-
1) Wabunge hawa hawakuchaguliwa na wapigakura katika uchaguzi wa 31.10.2010 kwa mujibu wa sheria zinazohusika na uchaguzi huo; walichaguliwa na mchakato upi kwa mujibu wa sheria zipi?
2) Katika kujenga mazingira haramu ya kubaki wagombea pekee walicheza rafu mbaya sana ya kuwaondolea wagombea halali wenzao demokrasia, ambayo ni haki yao ya kikatiba kwa kila mgombea.
3) Mwenyekiti na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi pia washitakiwe kwa kosa la uhaini kwa kuvunja katiba ya JMT kwa kuhalalisha kiharamia wagombea hawa na hatimaye kuwatambua kama wabunge halali huku wakijua hakika kwamba wanavunja sheria mama-katiba kuhalalisha wabunge batili bila kujali msitakabali wa sheria za nchi.
Mtikila naye bwana, is he serious? Kama atakuwa serious this time itakuwa safi saaaana!
Mch. Chris hapa kuna miongoni mwa points za nyongeza kwa Liberty Desk yako katika kesi hii:-
1) Wabunge hawa hawakuchaguliwa na wapigakura katika uchaguzi wa 31.10.2010 kwa mujibu wa sheria zinazohusika na uchaguzi huo; walichaguliwa na mchakato upi kwa mujibu wa sheria zipi?
2) Katika kujenga mazingira haramu ya kubaki wagombea pekee walicheza rafu mbaya sana ya kuwaondolea wagombea halali wenzao demokrasia, ambayo ni haki yao ya kikatiba kwa kila mgombea.
3) Mwenyekiti na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi pia washitakiwe kwa kosa la uhaini kwa kuvunja katiba ya JMT kwa kuhalalisha kiharamia wagombea hawa na hatimaye kuwatambua kama wabunge halali huku wakijua hakika kwamba wanavunja sheria mama-katiba kuhalalisha wabunge batili bila kujali msitakabali wa sheria za nchi.