Kuolewa SIO bahati...USIBAHATISHE!

Mnisadie hili.

Je muoaji na muolewaji wamebahatishana? Ikimaanisha alieolewa kabahatika na aliyeoa kabahatika.

Na ule msemo ''kuolewa ni bahati, kupata mtoto/watoto majaliwa'' una uhalisia wowote??
Ya kwanza wanadai mwanamke ndie anabahatika, mwanaume sijui anafanyaje.

Ya pili naweza jibu kuhusu watoto, kweli ni majaliwa.
 
Namshukuru mungu nilipata mke mtiifu na mwenye busara, nami nampenda sana. Anajua fika kuwa yeye ni Mke na anatambua kuwa mimi ni Mume. Nina furaha sana. Hii jamii ya wanawake wa leo , kadri wanavyoelimika, wanazidi changanyikiwa na kusahau maadili yao.

Hongera kwa hilo, hopefully nae ana furaha vile vile.
 
Kama unayoandika ndio misimamo yako, duh kuolewa kwako ni bahati sana na utegemee kuachwa na mume wako au kuwa na nyumba ndogo

Kama mada yangu inavyosema KUOLEWA SIO BAHATI kwahiyo sipo kusubiria BAHATI YA KUOLEWA.
 
Kama mada yangu inavyosema KUOLEWA SIO BAHATI kwahiyo sipo kusubiria BAHATI YA KUOLEWA.
Kwa maana hiyo utasugua kisigino mpaka utacho. Utakopoelwa tu. Maana vitu vyote vinaenda sambamba
Mwamke anamtii mwanaume na mwanaume anampenda mwanamke tofauti na hapo utakimbiwa na wanaume wengi sana.
 
Mnisadie hili.

Je muoaji na muolewaji wamebahatishana? Ikimaanisha alieolewa kabahatika na aliyeoa kabahatika.

Na ule msemo ''kuolewa ni bahati, kupata mtoto/watoto majaliwa'' una uhalisia wowote??

Kimsingi ilitakiwa iwe bahati kutoka pande zote mbili.....wabahatishane....ila imejengeka kuwa anayeolewa ndo mwenye bahati...nafikiri based on fact kwamba most of the time mwanaume ndo anaamua kumuoa au kutokumuoa mwanamke fulani,japo na wanawake nao wana nafasi ya kutoa maamuzi ila mara nyingi hawaitumii kwa sababu kadha wakati wa kuchumbiana....!!

Mi huu msemo wa kuolewa bahati kupata mtoto majaliwa siuelewi....kwangu kupata mtoto ndo ingekuwa bahati kuolewa majaliwa....!
 
Mambo ya kukubali na kukataa jinsia yametoka wapi? Kuna niliposema nataka kuwa mwanaume?
Uwezi kuwa mwanaume kamwe na utaendelea kukojowa ukiwa umechuchumaa na utaendelewa kuzalishwa tu. Mwanamke alitoka ubavuni mwa mwanaume hili halina mjadala labda kama unataka kufurahisha baraza.
 
Kwa maana hiyo utasugua kisigino mpaka utacho. Utakopoelwa tu. Maana vitu vyote vinaenda sambamba
Mwamke anamtii mwanaume na mwanaume anampenda mwanamke tofauti na hapo utakimbiwa na wanaume wengi sana.

Unavyong'ang'ania ntakimbiwa, fanya na maombi kabisa iwe kweli maana mpaka sasa bado haijawa kweli.

Alafu huyo mwanaume anaetaka kutiiwa kabla ya kupenda ndio inakuwaje? Nikikutana na mtu akiniambia njoo huku, fanya vile nafuata matakwa yake kuonyesha utii alafu ndo ananipenda au?
 
Uwezi kuwa mwanaume kamwe na utaendelea kukojowa ukiwa umechuchumaa na utaendelewa kuzalishwa tu. Mwanamke alitoka ubavuni mwa mwanaume hili halina mjadala labda kama unataka kufurahisha baraza.

Watu wengine bana. . .
Sasa aliyesema ni mwanaume au anataka kuwa mwanaume hapa nani??
 
Uwezi kuwa mwanaume kamwe na utaendelea kukojowa ukiwa umechuchumaa na utaendelewa kuzalishwa tu. Mwanamke alitoka ubavuni mwa mwanaume hili halina mjadala labda kama unataka kufurahisha baraza.
Mimi nimemueleza mbishi sana
 
Unavyong'ang'ania ntakimbiwa, fanya na maombi kabisa iwe kweli maana mpaka sasa bado haijawa kweli.

Alafu huyo mwanaume anaetaka kutiiwa kabla ya kupenda ndio inakuwaje? Nikikutana na mtu akiniambia njoo huku, fanya vile nafuata matakwa yake kuonyesha utii alafu ndo ananipenda au?
Utii sio ujinga au upumbavu soma signature yangu. sawa?
 
Watu wengine bana. . .
Sasa aliyesema ni mwanaume au anataka kuwa mwanaume hapa nani??
Wewe kama umeolewa basi mumeo lazima awe na nyumba ndogo ya kwenda kumpumzika, maana hizi ligi zako wanaume lazima atafute pa kupunguza kero.
 
Lizzy
kuolewa ni bahati ila is not pre-determined i.e umeanza uhusiana kama mchicha umekuwa na sasa mnataka kuoana (mmbuyu)
 
Nyie wanawake mnaotaka kuolewa na REAL MAN je. nyie ni REAL WOMEN, si vicheche.Wanawake siku hizi ni Gold digger, ndo maana mnaunga foleni kwa mwanaume mwenye fedha. Kwa nini mwanamke mwenye kipato hataki kuolewa na mwanaume asie na kipato?Kwanini mwanamke mwenye elimu hataki kuolewa na mwanaume mwenye elimu duni?wote wanataka wanaume wenye pesa au wenye elimu. wanawake amkeni, acheni kulalamika. Nina mfano, nina kazi na mshara mzuri tu wa graduate, nikawa na demu wangu nataka nimuoe, akaja mara ghafla nikasikia anaolewa na lijamaa la miaka 40, kisa tu lijamaa lina magari. sasa mwanamke kama huyo atakuwa amemchunguza hilo dume, je akija kuchakachuliwa ana haki ya kulalamika? Shame on you women who are after money. I need to marry but you women are dissappointing me!!!
 
Siwezi kusoma signature yako.
Samahani sana kwa kushindwa kutii amri.
OK ngoja niidanike hapa
MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI
umeiona?
 
Nyie wanawake mnaotaka kuolewa na REAL MAN je. nyie ni REAL WOMEN, si vicheche.Wanawake siku hizi ni Gold digger, ndo maana mnaunga foleni kwa mwanaume mwenye fedha. Kwa nini mwanamke mwenye kipato hataki kuolewa na mwanaume asie na kipato?Kwanini mwanamke mwenye elimu hataki kuolewa na mwanaume mwenye elimu duni?wote wanataka wanaume wenye pesa au wenye elimu. wanawake amkeni, acheni kulalamika. Nina mfano, nina kazi na mshara mzuri tu wa graduate, nikawa na demu wangu nataka nimuoe, akaja mara ghafla nikasikia anaolewa na lijamaa la miaka 40, kisa tu lijamaa lina magari. sasa mwanamke kama huyo atakuwa amemchunguza hilo dume, je akija kuchakachuliwa ana haki ya kulalamika? Shame on you women who are after money. I need to marry but you women are dissappointing me!!!

Ulianza vizuri kujieleza lakini ulipofika kuitaja miaka 40 kwamba ni mzee hapo umechemsha, ukiona nyani mzee ujuwe kashakwepa mikuki mingi, miaka 40 ni umri sahihi wa Binadamu kuwa amekomaa akili na ana experince ya maisha na umri wa kutulia, ingawa si kwa wote kwani ipo mizee ya miaka 70 lakini mambo yao hovyo kabisa.
 
Nyie wanawake mnaotaka kuolewa na REAL MAN je. nyie ni REAL WOMEN, si vicheche.Wanawake siku hizi ni Gold digger, ndo maana mnaunga foleni kwa mwanaume mwenye fedha. Kwa nini mwanamke mwenye kipato hataki kuolewa na mwanaume asie na kipato?Kwanini mwanamke mwenye elimu hataki kuolewa na mwanaume mwenye elimu duni?wote wanataka wanaume wenye pesa au wenye elimu. wanawake amkeni, acheni kulalamika. Nina mfano, nina kazi na mshara mzuri tu wa graduate, nikawa na demu wangu nataka nimuoe, akaja mara ghafla nikasikia anaolewa na lijamaa la miaka 40, kisa tu lijamaa lina magari. sasa mwanamke kama huyo atakuwa amemchunguza hilo dume, je akija kuchakachuliwa ana haki ya kulalamika? Shame on you women who are after money. I need to marry but you women are dissappointing me!!!

Isije ikawa ndio huyu tunayebishana nae humu.
 
Back
Top Bottom