Kuolewa SIO bahati...USIBAHATISHE!

Uzuri wa mtu haupo kwenye kuwa na mali ama kutokua na mali. Wapo wanaumbe wasio hata na uwezo wa kununua suruali ya tatu ila tabia zao haziwezi kumfanya mwanamke aone alibahatika kuolewa nae.
Unajua sikia nikueleze wanawake siku hizi hawafundwi. Unajua mwanaume ni kama Mbwa ukinfundisha anafundishika na kumfanya awe utakavyo. Tatizo wanawake hawataki kuwafundisha waume zao na wanataka mambo ya haki sawa ndio utakuta ungomvi kila siku.
"MWANAMKE MWENYE HEKIMA HUJENGA JUMBA YAKE LAKINI MPUMBAVU HUIBOMOA KWA MIKONO YAKE"

Tatizo wanawake wengi kichwa hamna, jinsi ya kuishi na wanaume wanataka wawe vibeberu.
 
Hata sijui...ningesema kukubali kwa sababu anazojua mhusika kuishi na mwanaume kwa taratibu zinazotambulika kidini,kiserikali,kijamii etc,...but siku hizi nasikia wanawake wanaoa wanaume na wanawake wenzao, wanaume nao wanaoa wanaume wenzao....jitahidi tu na wewe Smile kutafsiri....lol....umefanikiwa ile ishu??? he he he...tukutane mailisita!
sidhani kama kuna muoaji dunia ya sasa siku hzi tunaoana
 
Hua nashangazwa sana na kauli isemayo "kuolewa ni bahati" toka kwa wanaume na hata wanawake. Kauli hii hua inatoka kwa watu wanaoamini kwamba kwa kuolewa, mwanamke anakua amefanyiwa FAVOUR, AMESAIDIWA au AMEPEWA ZAWADI kana kwamba mwanamke pekee ndie anaefaidika na hiyo ndoa. Na hiyo bahati yenyewe inayotokana na kuolewa huko sio kupata mume ambae anastahili kuitwa mume bali ni kupata mahali pa kulala, chakula na mavazi. Wengine hua wanafika mbali kiasi cha kuwauliza wenzi wao moja kwa moja "unalalamika nini wakati unakula, unalala na unavaa vizuri?" pale mwanamke anapoonyesha kutoridhisha na namna mahusiano yao ndani ndoa yanavyoenda mf. mume kutokua mwaminifu, kutokuwepo nyumbani muda wa kutosha, kulewa sana, kumdharau mkewe n.k .

Ina maana wanawake wanaolewa ili wale, walale na wavae? Walipokua kwa wazazi wao au wakijitegemea waliishi bila kula, kuvaa na kulala ndani ya nyumba?

Kinachonisikitisha ni kuwa baadhi ya wanawake wanaunga mkono mawazo haya. Wanakubali kuchukuliwa kama watu wanaopewa msaada kwa kuolewa.

Binafsi siamini wala sioni ni kwa namna gani "kuolewa ni bahati". Kwangu mimi bahati ipo kwenye kumpata mtu ambae anaelewa nini maana ya ndoa na kuiheshimu ndoa yake, anaempenda mwenzi wake, anaemheshimu mwenzi wake pamoja na mawazo yake, anaemsikiliza mwenzake, anaejielewa na kujitahidi kumwelewa mwenzake, aliye tayari kujitoa kwa mwenzake, anaejua na kutimiza majukumu yake, anaejitahidi kumfurahisha mwenzake kwa maneno na matendo. Vivo hivyo kwa wanaume. . . . wenye bahati sio waliooa bali ni waliooa wanawake wenye sifa nilizotanguliza hapo juu.

Kuoa/kuolewa sio bahati hivyo usibahatishe.

Sentensi yako ya mwisho inabadilisha utaratibu wa kawaida kwani kuoa sio bahati bali kuolewa ndio bahati. Ufahamu kuwa wewe kuwa mwanamke sio maamuzi yako hivyo mambo yote yahusuyo mwanamke huwezi kuyabadilisha; hivyo kubali matokeo na ujumbe huu wapatie na wale wenzio wa kwenye women movement!!!!!
 
Duh sasa uwe na mwanamke ambaye humtamani?
Sura lazima ndio vitu vya ndani. Unajua kila mtu huwa na kitu anachovutiwa kwa mwanamke.

Sura ni kigezo muhimu sana, haswa ukipata mwenye Sura nzuri na tabia nzuri, dunia utaiona tamu. Lakini akiwa na sura mbovu sana na tabia nzuri ndi mwanzo wa nyumba ndogo.


Sababu ya mimi kuandika KIGEZO na sio vigezo ni kwamba naongelea wale wanaodanganyika na sura bila kuangalia vitu vingine. Matokeo yake ndio unakuta mtu anaacha mrembo nyumbani anaenda kuhangaika na nyumba ndogo mitaani.
 
sidhani kama kuna muoaji dunia ya sasa siku hzi tunaoana

Mwanaume anaoa na mwanamke anaolewa. Kuoa ni kuchukua mwichi na kutwanga ndani ya kinu, na kuolewa na kukinga kinu ili mwichi utwange. kinyume na hapo ni tatizo kubwa kwa wahusika!!
 
Sentensi yako ya mwisho inabadilisha utaratibu wa kawaida kwani kuoa sio bahati bali kuolewa ndio bahati. Ufahamu kuwa wewe kuwa mwanamke sio maamuzi yako hivyo mambo yote yahusuyo mwanamke huwezi kuyabadilisha; hivyo kubali matokeo na ujumbe huu wapatie na wale wenzio wa kwenye women movement!!!!!


Mwanamayu, Hilo ni tatizo kubwa la wanawake wa sasa. Hawaoni mama wao walivyoishi vizuri na waume zao??.
Haki ya kijinsia lazima itambue utofauti wetu na majukumu yetu.
 
Unajua sikia nikueleze wanawake siku hizi hawafundwi. Unajua mwanaume ni kama Mbwa ukinfundisha anafundishika na kumfanya awe utakavyo. Tatizo wanawake hawataki kuwafundisha waume zao na wanataka mambo ya haki sawa ndio utakuta ungomvi kila siku.
"MWANAMKE MWENYE HEKIMA HUJENGA JUMBA YAKE LAKINI MPUMBAVU HUIBOMOA KWA MIKONO YAKE"

Tatizo wanawake wengi kichwa hamna, jinsi ya kuishi na wanaume wanataka wawe vibeberu.

Kufundwa sio guarantee ya mtu kuweza kuyapokea anayofundishwa na kuyafanyia kazi.

Watu wanaopenda kujifunza wanajifunza kwa namna tofauti, sio lazima wafundwe (sijui ndio mnawekana ndani). . .
Na linapokujwa swala la kujenga ama kubomoa kiuhalisia mikono minne inahusika na sio miwili. Kama mwanaume hawezekani hata mwanamke afanye nini huyo mwanaume ataendelea kuwa Mr Hawezekani tu.Mwanaume anatakiwa ajue jinsi ya kuishi na mwanamke, na mwanamke jinsi ya kuishi na mwanaume.
 
Sentensi yako ya mwisho inabadilisha utaratibu wa kawaida kwani kuoa sio bahati bali kuolewa ndio bahati. Ufahamu kuwa wewe kuwa mwanamke sio maamuzi yako hivyo mambo yote yahusuyo mwanamke huwezi kuyabadilisha; hivyo kubali matokeo na ujumbe huu wapatie na wale wenzio wa kwenye women movement!!!!!
Wewe kuwa mwanaume ni maamuzi yako? Mambo yahusuyo wanaume unaweza kubadilisha?

Naweza ni kawa ni mgumu kuelewa ila ngoja nikubali kwamba sijapata point yako.
 
Kufundwa sio guarantee ya mtu kuweza kuyapokea anayofundishwa na kuyafanyia kazi.

Watu wanaopenda kujifunza wanajifunza kwa namna tofauti, sio lazima wafundwe (sijui ndio mnawekana ndani). . .
Na linapokujwa swala la kujenga ama kubomoa kiuhalisia mikono minne inahusika na sio miwili. Kama mwanaume hawezekani hata mwanamke afanye nini huyo mwanaume ataendelea kuwa Mr Hawezekani tu.Mwanaume anatakiwa ajue jinsi ya kuishi na mwanamke, na mwanamke jinsi ya kuishi na mwanaume.
Chanzo cha migogoro mingi katika ndoa huwa ni wanawake hilo unasemaje?
Mwanaume jeuri can be handled by the woman aliye na elimu ya kuishi na mwanaume
But not for the woman to be handled by the man.
 
Chanzo cha migogoro mingi katika ndoa huwa ni wanawake hilo unasemaje?
Mwanaume jeuri can be handled by the woman aliye na elimu ya kuishi na mwanaume
But not for the woman to be handled by the man.

Nasema mwenye mawazo hayo aendelee kua nayo. . .haki anayo.
 
Nasema mwenye mawazo hayo aendelee kua nayo. . .haki anayo.
Kanuni iko hivi:
Mwamke amtii mme wake na mwanume ampende mke wake basi. kinyume na hapo ugomvi. Tatizo vidada havitaki kuwatii wanaume vinajifanya vijogoo jogoo.
Ndoa ni kanuni bana
 
Kanuni iko hivi:
Mwamke amtii mme wake na mwanume ampende mke wake basi. kinyume na hapo ugomvi. Tatizo vidada havitaki kuwatii wanaume vinajifanya vijogoo jogoo.
Ndoa ni kanuni bana

Again. . . What works for you is good for you. Kwahiyo kama wewe kanuni inayomtaka/lazimu mwanamke kushughulika peke yake kwenye mahusiano ndio inayokuongoza wewe, na inakusaidia basi stick to it.Haki unayo.
 
Again. . . What works for you is good for you. Kwahiyo kama wewe kanuni inayomtaka/lazimu mwanamke kushughulika peke yake kwenye mahusiano ndio inayokuongoza wewe, na inakusaidia basi stick to it.Haki unayo.
Aaah siyo kwamba mwnamke ndiye asimamie mambo yote but mwamke ndiye kiongozi wa mambo mazuri katika ndoa. Mwamke akiwa mpumbavu ndio ngumi hupingwa. Wote wanatakiwa kuhusika lakini kiongozi ni mke.
 
Back
Top Bottom