CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 687
Lbda uhamie ughaibuni kwa mila za kiafrica hilo swala ni gumu kama wote mnazaa.
Kuna nchi nyingi Ulaya magharibi unakuta watu ni careeer tu hivyo hawana muda wa watoto so hawazai, lakini uzeeni wanajuta na kufa kama anonymous huku serikali ikitaifisha mali zao, ya nini yote hayo?? zaa bwana.
Hii ndio haswaaaa ninachotaka kusisitiza mimi. Na kwa kuongezea, ndugu Leornado hebu tafakari kama na wazazi wetu nao wangesema wanapanga wasizae, tungekuwa wapi sasa hivi???
Yapaswa tusijiangalie sisi tu pekee, lazima tu-focus na mbeleni na hatima ya vizazi vijavyo. Sisi ndio tuna jukumu la kujenga vizazi vijavyo na hatupaswi kulikwepa. Hatupaswi kuwa kianzio cha kuzuia vizazi vijavyo