Kuoa mwanamke anaye kuzidi Elimu

With all due respect Sir, I beg to differ..... Not all women, I think wewe umekutana na wa aina moja, I know some who are really powerful in some aspects like elimu, kazi and yet they are down to earth to their husbands!
<br />
<br />
Kweli mkuu? seems you may convice me otherwise ... Nifafanulie kidogo what makes the group you know down to earth and loyal? While we al know that Power corupts women much more esier than men?
 
hebu tuulizane nini maana ya kumzidi mtu kielimu kwanza??????

unaweza kuwa umezidiwa kielimu in papers lakini kwenye general knowledge uko juu sana

mimi hapa huwa nachati na wadada wenye phd kwenye maeneo yao but still nawafundisha vingi ambavyo hawavijui
Boss ni PM umri wako please. kama unataka kufa kabla ya muda wako owa mwanamke alie advance. kuna watu wanakufa na maumivu yao hawasemi.
Mimi nilikuwa nae mmoja hajanizidi uwezo wowote lakini alipopata kazi tu, nikaona anahitaji kuwa independent zaidi, nilichokifanya nikamwambia huu ni msimu wa dirisha dogo la usajili waweza kwenda hata kwa mkopo. then life goes on.
 
<br />
<br />
Kweli mkuu? seems you may convice me otherwise ... Nifafanulie kidogo what makes the group you know down to earth and loyal? While we al know that Power corupts women much more esier than men?

mkuu azimio
hebu fafanua hili
unazungumzia power au kuzidiwa kielimu?
kwa sababu power ina maana pana
 
Boss ni PM umri wako please. kama unataka kufa kabla ya muda wako owa mwanamke alie advance. kuna watu wanakufa na maumivu yao hawasemi.
Mimi nilikuwa nae mmoja hajanizidi uwezo wowote lakini alipopata kazi tu, nikaona anahitaji kuwa independent zaidi, nilichokifanya nikamwambia huu ni msimu wa dirisha dogo la usajili waweza kwenda hata kwa mkopo. then life goes on.

unanitisha mkuu
mimi weakness zangu ni wanawake aina hiyo
walionizidi kila kitu
mpaka age...na naona nawamudu.....
 
Mmmmh mi naombea mwanaume wakuishi naye kama mume, awe amenizidi katika baadhi ya mambo hata kama sio yote, manake kwa hulka ya kiume kumzidi ni matatizo tu. Mmmh ingpendeza lile linalonishinda yy aweze, kile nisichokijua basi yy akijue afu nimuulize. Vinginevyo............
<br />
<br />
duh! Kweli tonatofautiana. Mi naomba nimzidi kila kitu ila nina uhakika heshima yake ya uanaume nitampa.
 
mkuu azimio&lt;br /&gt;<br />
hebu fafanua hili&lt;br /&gt;<br />
unazungumzia power au kuzidiwa kielimu?&lt;br /&gt;<br />
kwa sababu power ina maana pana
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Nimeichukulia kama wanavyosema, Education is Power .... Inampa wife uwezo na nguvu kubwa (asiyo ihitaji dhidi yangu) ya kununua, kuamua na kumiliki! Honestly ... Sioni ndoa hapo kama she has that against me! How? Itakuwaje ndoa hiyo? Mwanamke hawezi kupeba hiyo POWER NA NDOA AT THE SAME TIME. She might try to be loyal and give in etc lakini mkuu mwisho wa siku kuna kitu hakijakaa vizuri hapo!! Na Mwanamke mzuri kabisa! Ananielewa kuwa asingependa hali ijipange kihivyo! Kwani itamuhitaji moral authority kama ya Mama mzazi wa Yesu kuimudu hiyo ndoa. Kitu ambacho ni Mzigo kwa wake zetu! Infact ni jaribu with full Force!
 
Simply and in a very plain spoken language ... Dont dare! <br />
Yes' dont dare to make her your wife a woman under those conditions! <br />
You ask Why? Power is toxic to any woman if above her Husband!! <br />
She wil risent you regardless and whatever you dream as supermanagment to her! Dont Ever dare do that!! Am sure al those Real Women knows what am talking about!!

Wewe ndiyo wa jana kabisa! Male chauvinist .....

Kuna wakina mama wengi shule tatizo hata darasa la saba hawajafika nao ni wakorofi ajabu. Nyumbani hakukaliki lakini mwanamme yupo tu anaogopa.

kama walivyoongea wadau ni tabia na malezi siyo elimu.
Ange
 

...kwenye mahusiano ya mapenzi/ndoa/maisha mkishaanza kuingiza vigezo vya huyu kanizidi hili nami nimemzidi hili mjijue hamtafika mbali... mwishowe mtafikia hiki changu, hiki chake...!

Nitarudi kuchangia, time za futari hizi...
 
<br />
<br />
Kweli mkuu? seems you may convice me otherwise ... Nifafanulie kidogo what makes the group you know down to earth and loyal? While we al know that Power corupts women much more esier than men?

Mimi ninapopishana lugha na wewe Mheshimiwa ni hiyo generalization yako..........what makes them down to earth and loyal ni heshima walizotoka nazo makwao; respects na mapenzi ya kweli wanayopata kutoka kwka waume zao. na sometimes uvumilivu kwa sababu sometimes unakuta mwanamke na elimu yake, kazi nzuri but anapata mume mkorofi asiyemrespect kama mke na bado anavumilia na kuwia down.....................

So point yangu hapo ni kuwa SI WANAWAKE WOTE ambao ni malimbukeni wa hiyo Power unayoizungumzia!.
 
unanitisha mkuu
mimi weakness zangu ni wanawake aina hiyo
walionizidi kila kitu
mpaka age...na naona nawamudu.....
Utakuwa ni Mcongoman tu wewe sio bure. kama ukigeuza ndio ajila yako hiyo kitu najuwa umahiri wako ndio utatunza heshima tena hata usafiri utapewa wa kutembelea, maana chumvini uvinza pakipata mtalaam hata demu awe na PHD hakwambii kitu.
 
sio kweli kama umemzidi mumeo elimu na unapata mshahara mzuri ndio umdharau mumeo,ni hulka tu yamtu na tabia mbaya haija husiana chochote na elimu wala kipato,labda malimbukeni ndio hufanya hivyo.
<br />
<br />
well done! Nimeipenda hii!
 
Utakuwa ni Mcongoman tu wewe sio bure. kama ukigeuza ndio ajila yako hiyo kitu najuwa umahiri wako ndio utatunza heshima tena hata usafiri utapewa wa kutembelea, maana chumvini uvinza pakipata mtalaam hata demu awe na PHD hakwambii kitu.

ha haaa
mkuu mimi mbongo
halafu masuala ya pesa najitegemea
sina complain
 
Wadau naomba kuuliza kwa nn mtu akioa mwanamke anaye mzidi Elimu ndoa haidumu hasahasa akikuzidi elimu na kipato ndo balaaa..Je nini tatizo?

Ingawa tunaweza kuhitaji ushaidi kujua kama hili bado lipo, sisi wa enzi ya 1947 tunaamini hivyo kwamba mwanamume ambaye ni goal keeper kwa mafweza ya mkewe na kapitwa katika mambo ya shule (aliogopa umande), basi hapo nyumbani huyo si mume. Ni sawa na shamba boy tu!

Hii inatokana na imani ya wengi wetu kwamba mwanamume ni number moja katika familia, kimapato, kisomo na ma-ujuzi ya mema na mabaya. By nature na hormone zetu (testosterone), inakuwa ngumu mwanamume kuwa member namba 2 katika familia na kuendelea kujiita na kutaka aitwe mwanamume! Enzi zetu tuliamini mtu wa namna hiyo anaishia kuwa impotent kwa kupoteza hata libido!
 
hebu tuulizane nini maana ya kumzidi mtu kielimu kwanza??????

unaweza kuwa umezidiwa kielimu in papers lakini kwenye general knowledge uko juu sana

mimi hapa huwa nachati na wadada wenye phd kwenye maeneo yao but still nawafundisha vingi ambavyo hawavijui

Hapa kinachozungumziwa nadhani ni vyeti vya elimu. Si unajua Watanzania tunavyoshoboka na vyeti - ndo maana siku hizi madokta kibao bongo.

Kwangu mimi elimu ya maisha ndo ya maana zaidi.
 
Mbona michango yangu humu ndani inanyofolewa jamani ama ni nini tatizo,hata kuchangia mada ni tatizo?eti Mod?
 

...kwenye mahusiano ya mapenzi/ndoa/maisha mkishaanza kuingiza vigezo vya huyu kanizidi hili nami nimemzidi hili mjijue hamtafika mbali... mwishowe mtafikia hiki changu, hiki chake...!

Nitarudi kuchangia, time za futari hizi...
Dah!!! Wewe ndio umeongea jambo la msingi ningekuwa nina halwa hapa ningekupatia sema nimekula nimemaliza zote
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hizi ndo mentalities za mfumo dume, mkuu, we oa tu kwani katika maisha ya ndoa muhimu ni "matrimonial consent kati ya watu wawili, haya mabo ya elimu au kipato ni mtazamo tu na inferiority complex!
 
Enyi waume ishini na wanawake zenu kwa akili,ukiweza kuishi kwa akili na mwanamke hata aje na kabati la madegree ataimana vizuri tu mbele yako. Wao ni watu wa Hisia, hawana /hawawezi kutafiti ndo maana shetani anawatumia wanawake kama mlango wa maovu, mwanamke Mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom