Kuoa mwanamke anaye kuzidi Elimu

mi sikubaliani na hilo, bado kuna sample zipo mtaan mwanamke sio tu kwamba anapeza na elimu ya juu kuliko mwanaume but pia anatunza familia.and life goes on happily. so tunapoliangalia hili lazma tupate ushahidi kamili. aaaaaaaaaaay msigope vidume kuoa wanawake wa namna hiyo banaaaaaaaaaaaaaaaaa.
&lt;br /&gt;<br />
we mtoto wa kiume usipende zile dizaini za wanaume kama mabinti shauri yako.
 
Mwanamke akikuzidi elimu wewe tumia busara na hekima kama baba/ kiongozi w familia na utafanikiwa, kama huna muombe mola akushushie utaona mambo yanavyonyooka.
 
Nadhani kuna suala la inferiority complex kwa upande wa mwanaume na superiority complex kwa upande wa mwanamke
 
Labda mimi nifunge mjadala hapa, ni bora mwanamke akuzidi elimu lakini sio pesa. akikuzidi elimu ukawa na mikwanja unaweza kutumia elimu yake kuzalisha pesa zaidi. Mfano hai kamanda Freeman Mbowe.
 
Labda mimi nifunge mjadala hapa, ni bora mwanamke akuzidi elimu lakini sio pesa. akikuzidi elimu ukawa na mikwanja unaweza kutumia elimu yake kuzalisha pesa zaidi. Mfano hai kamanda Freeman Mbowe.
Hata akikuzidi pesa pia ukijiamini unaishi nae kwa amani tu mkuu
 
Hata akikuzidi pesa pia ukijiamini unaishi nae kwa amani tu mkuu
Si kweli, money is power. uliza duniani hapa sehemu yoyote ile utajibiwa hivi. hata kwenye Biblia kwenye kitabu cha mithali hekima za mfalme Suleimani inasema " Pesa ndio suluhisho la yote". hakuna swala la kujiamini hapo.
 
hebu tuulizane nini maana ya kumzidi mtu kielimu kwanza??????<br />
<br />
unaweza kuwa umezidiwa kielimu in papers lakini kwenye general knowledge uko juu sana<br />
<br />
mimi hapa huwa nachati na wadada wenye phd kwenye maeneo yao but still nawafundisha vingi ambavyo hawavijui
<br />


swadakta,watu hapa wanachanganya Maarifa na Cheti!!
Issue hapo ukiwa hauna uwezo wa kusimamisha mantiki!
Phd na uwezo wa kuongoza familia havina uhusiano wa moja kwa moja,tatizo wanaume hawajiamini!
<br />
 
Ninachoweza kusema hapa ni kwamba money changes behaviour. Kama wewe unatakiwa uwe "kichwa" na nguvu zote anazo mama ni vigumu ndugu yangu.
 
Mimi ninapopishana lugha na wewe Mheshimiwa ni hiyo generalization yako..........what makes them down to earth and loyal ni heshima walizotoka nazo makwao; respects na mapenzi ya kweli wanayopata kutoka kwka waume zao. na sometimes uvumilivu kwa sababu sometimes unakuta mwanamke na elimu yake, kazi nzuri but anapata mume mkorofi asiyemrespect kama mke na bado anavumilia na kuwia down..................... <br />
<br />
So point yangu hapo ni kuwa SI WANAWAKE WOTE ambao ni malimbukeni wa hiyo Power unayoizungumzia!.
<br />
<br />
Umenena sawa mkuu hii hali inategemea malezi na upendo wa mtu kuna wanawake wana elimu zao na kipato kizuri lakini unakuta mwanaume ni mkorofi anamdhalilisha na hata kumpiga lakini mwanamke anavumilia mpaka mnabaki kujiuliza ni nini kinachomweka hapo ikiwa ana elimu nzuri kumpita hata mumewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom