Wameshika makali hao (wahamba wa lake zone) mpini umeshikwa na "watoto wa mjini". Wajazeni vichwa muone kama hawatakatwa90% ya NEC wameshinda kanda ya ziwa
Wameshika makali hao (wahamba wa lake zone) mpini umeshikwa na "watoto wa mjini". Wajazeni vichwa muone kama hawatakatwa90% ya NEC wameshinda kanda ya ziwa
Ni kwamba kura zao hazikutosha au kwa kifupi hawakupigiwa kura za kuwapa U_NEC, so kilichofanyika mwenyekiti akapenyezewa taarifa ndipo ile nafasi ya goal la mkono inapenyezwa na watu wakacheza na ubao, mara paap hao hapo!.
Hata Wasira alitakiwa asipitishwe hata jina lake, awachie vijana tena. Mtu tangu enzi ya Nyerere 'bado yupo tu' (kwa sauti ya Makongoro) ana jipya gani la kuchangia?Wasira je?ni kijana eeeeh😕
Kawekwa kimkakati WENZIO wanaandaa timu ya ushindi 2025Hata Wasira alitakiwa asipitishwe hata jina lake, awachie vijana tena. Mtu tangu enzi ya Nyerere 'bado yupo tu' (kwa sauti ya Makongoro) ana jipya gani la kuchangia?
Kashindwa Hadi na kina msukuma na kaseselaAlikuwa wa 11 na Nape wa 9
January amepitwa kura mpaka na msukuma.Hata mie sijaelewa!
unajua alipo Edward Ngoyai Lowasa? unajua kwann wajumbe wa mkutano mkuu wa ccm wanakaa kwa mikoa? ilikuwa ni nguvu ya LowasaUkisikia mtu kupagawa ndio huku sasa!
Walamba asali wamechachamaa baada ya jina pendwa la January makamba na Nape Nnauye walamba asali wakuu na walamba asali kwa ujumla kupigwa chini!
Kwa Yale yanayowatoka wastaafu inatupa kuanza kuamini kwamba, nguvu yao ndani ya chama ni ya Mashaka Mashaka!
Ni dhahiri shairi kuwa, kundi la mwendazake linanguvu kubwa ndani ya chama na ndiyo maana sasa wanachokimbilia ni kuwatisha Wana CCM wenzao kwamba wasijitokeze kugombea nafasi ya urais kwa sababu walikuwa hawaamini kuwa nguvu ya mwendazake itawapiku walamba asali hawa!
Ngoja tuone!