The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
Kama unachoka kutumia deodorants mie nakua sikuelewi unajua!ina maana hata ndevu nazo umechoka kunyoa, na kuoga nako,na kupiga mswaki nako,na kufua chupi kila unapo oga, na kupaka perfume,na kunawa uso kila unapo amka na hata kula pia nadhani itafikia siku utachoka, acha uvivu bado sikuelewi kabisa.:rant:
Hiki nini sasa!kakwambia kachoka ha ya yote uliyoolozesha?