Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

Nilitaka kumwambia hivyo hivyo lakini umeshamaliza zinapatikana kwenye baadhi ya pharmacy sio zote coz kuna wengine hata hawazijui.....kama yupo Arusha aniambie nimuelekeze mahali pa kuipata......ni nzuri sana na inafanya kazi mara moja

Preta unaweza kunisaidia vp ili na mimi nipate iyo driclor mana nna shida nayo sana kupita maelezo .
 
unaweza kuniambia ww ulinunua wapi mana nimeitafuta zenji hadi nimechoka cjaipa

Km yuko anaefaham wapi ntapata DRICLOR naomba anambia hasa kwa hapa DAR

Km yuko anaefaham wapi ntapata DRICLOR naomba anambia hasa kwa hapa DAR


Mwana J hiyo dawa ni nzuri sana na inafanya kazi vizuri sana maana nilikuwa nasumbuliwa na kutokwa na jasho plus linatoa harufu ila nilitumia hiyo imekata kabisa, Pia me sipo TZ so kwa kweli siwezi kujua wapi unaweza kupata ila huku kwa wenzetu any parmacy unaipata,

Jaribu kuwasiliana na Preta hapo mtumie PM anaweza akawa na watu Dar akawasiliana nao wakakusaidia!
 
kwa kuuita ushauri wako wa 'kisiasa', kama alivyofanya Tibaigana, mwambie denoor akuombe radhi la sivyo utajiuzulu JF
 
Inawezekana mtoto ana tatizo la usagaji wa chakula. kwa hiyo chakula kinaka sana kwenye intestines. Hivyo chanzo cha jasho kinaweza kuwa ni Re-absorption of wastes from the intestines and its consequent elimination (of toxins) through the skin. Yaani mwili uko loaded with toxins, na elimination organs, kidneys and liver zimezidiwa,hiyo skin inatumika kusaidia kuondoa hiyo sumu. kwa hiyo hata akitumia hizo deodorant, ndimu na ukoko wa ugali tatizo litabaki palepale. kwa hiyo maswali ya kujiuliza ni je anapata choo sawa sawa, mlo wenu kwa siku ukoje : ni sembe na wali mweupe, je anakula vegetables na matunda kila siku? vipi kuhusu nyama ,maziwa ,chumvi na sukari? fuatilia halafu chukua hatua.
 
Kuna wengine hata aongeje bado kikwapa kipo tu naomba aliye na dawa au ushauri awasaidie maana hii ni sehemu ya ushauri tusikate tamaa kuwasaidia hao wenzetu maana nimekutana nawatu wahali hiyo.
 
Habari wanaJF Doctor,

Naombeni msaada wenu kwn kuna msichana ambaye ni jirani yng,anasumbuliwa na tatizo la kunuka kikwapa.Amejaribu kutafuta tiba lakini wapi? Huwa anajitaidi kuoga hata mara tatu lakini kitendo cha kutoka bafuni hadi chumbani tayari harufu inaanza kutoka.nilihuzunishwa na tatizo hili kwn hata marafiki zake wanamtenga na mkumsema. Naombe madocta wa jf mtoe msaada kwa anayejua tatizo hili linasababishwa na nini na tiba yake nipi.asanteni
 
Ebwanae ehh yaani akitoka tu bafuni anaanza kuchemsha duh sio kalogwa kweli.Hiyo inatisha
 
Achukue baking soda (sodium bicarbonate) sijui kwa kiswahili inaitwaje..achanganye na maji kidogo au maji ya limau ajipake kwenye kwapa na aisugulie uzuri bada ya km 15min akoge. inasaidia kuondoa harufu pia inaondoka weusi wa kwapa
 
Habari wanaJF Doctor,

Naombeni msaada wenu kwn kuna msichana ambaye ni jirani yng,anasumbuliwa na tatizo la kunuka kikwapa.Amejaribu kutafuta tiba lakini wapi? Huwa anajitaidi kuoga hata mara tatu lakini kitendo cha kutoka bafuni hadi chumbani tayari harufu inaanza kutoka.nilihuzunishwa na tatizo hili kwn hata marafiki zake wanamtenga na mkumsema. Naombe madocta wa JF mtoe msaada kwa anayejua tatizo hili linasababishwa na nini na tiba yake nipi.asanteni

Inaelekea huyu ndiye mhusika!Huyo jirani yako akitoka kuoga huwa unamsubiria mlangoni?
 
Kunywa maji mengi,kula balanced diet I mean matunda na mboga mboga kwa wingi,avoid spicy foods, maybe it will help, otherwise pole.
 
Achukue baking soda (sodium bicarbonate) sijui kwa kiswahili inaitwaje..achanganye na maji kidogo au maji ya limau ajipake kwenye kwapa na aisugulie uzuri bada ya km 15min akoge. inasaidia kuondoa harufu pia inaondoka weusi wa kwapa.

Dah wabongo nuksi mkorogo mpaka wa kwapa!
 
  1. Kwanza kabisa unatakiwa kujua kua jasho halina harufu kabisa. lile harufu tunalo fikiria kua la jasho linasambabishwa na bakteria zinazo patikana kwenye ngozi eneo za kwapa. Kwa hiyo any antibacterial soap should reduce the proliferation of bacterias in that area (detol, protex etc).
  2. Pili hizo bacteria zinahitaji unyevu fulani kwa kuendelea ku-multiply. so the next step is to keep your armpits as dry as you can kwa kufuta jasho (discretly please) au better yet, kwa kutumia anti perspirant deodorant.
  3. Tatu nguo unazo vaa zina influence kutoka kwako jasho. jizoeze kuvaa nguo zenye natural fabric kama cotton, linen, silk etc. achana na nylon, polyester na zingine synthetic fabrics.
 
Chukua ukoko wa ugali kwenye chungu cha ugali halafu tia kwenye chombo cha kuogea subiri kwa dakika kama tano koroga. Kisha koga kwa maji ya ukoko huku ukizingatia sehemu zenye harufu.

Asante.
 
Mbona hata wazungu kibao wanatumia sana tu njia hio.:israel: ni deodorant tosha, haina madhara kma hizo deo za chemicalz
 
Back
Top Bottom