Kuna watu wanasema eti wajawazito wawili wakikaa sehemu moja LAZIMA mmojawapo kati yao ajifungue kwa upasuaji na mwingine atapoteza mtoto(miscarrage). kuna mtu anasema ilimtokea mwaka jana na kabla ya hapo alielezwa na mama mkubwa wake akapuuza. kuna ukweli wowote wadau?