Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 18,453
- 42,575
Samahani nabii Kiboko ya uchawi, mbona nakusikiliza hapa hii kama futuhi?
Aiseee huu ni mchezo wa kuigiza kabisaaa. Eti bibi katoka kijijini amefikia Kwa mwanae, Kuna watoto watatu wamefariki, wawili walishazikwa na Sasa Kuna msiba wa mtoto mwingine,baada ya kumpigia simu nabii ndio anasema bibi anaua watoto wa mwanae.
Basi eti mke analia, mume ambaye ndio mtoto wa mama mkwe anajifanya haelewi Kwanini mama yake anakula watoto, hiyo drama Sasa ya huyo bibi mla wajukuu sasa anavyoongea🥺
Basi nabii akapiga maombi kwenye simu , mtoto wake anasema kwenye simu bibi kala mweleka, damu zikaanza Toka puani, nabii ananena Kwa lugha na kumpa option mbili, afe au aseme ukweli, bibi ndio kuanza kusema Samahani, nimekumbuka Leo,Basi anaambiwa arudishe mtoto.
Sasa basi mtoto aliyefariki kaombewa na nabii Ili afufuke, basi mtoto si kafufuka bwana,
was a Nice Drama! Hiiii kuchelewa kulala Kuna mengiii.....
Anyways, naomba tukipata muda tutafakari mstari huu
MATHAYO7:15-29.
Aiseee huu ni mchezo wa kuigiza kabisaaa. Eti bibi katoka kijijini amefikia Kwa mwanae, Kuna watoto watatu wamefariki, wawili walishazikwa na Sasa Kuna msiba wa mtoto mwingine,baada ya kumpigia simu nabii ndio anasema bibi anaua watoto wa mwanae.
Basi eti mke analia, mume ambaye ndio mtoto wa mama mkwe anajifanya haelewi Kwanini mama yake anakula watoto, hiyo drama Sasa ya huyo bibi mla wajukuu sasa anavyoongea🥺
Basi nabii akapiga maombi kwenye simu , mtoto wake anasema kwenye simu bibi kala mweleka, damu zikaanza Toka puani, nabii ananena Kwa lugha na kumpa option mbili, afe au aseme ukweli, bibi ndio kuanza kusema Samahani, nimekumbuka Leo,Basi anaambiwa arudishe mtoto.
Sasa basi mtoto aliyefariki kaombewa na nabii Ili afufuke, basi mtoto si kafufuka bwana,
was a Nice Drama! Hiiii kuchelewa kulala Kuna mengiii.....
Anyways, naomba tukipata muda tutafakari mstari huu
MATHAYO7:15-29.