Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,325
- 6,015
- Thread starter
- #61
Ndiyo hivyo mkuu. Hadi kwenye misiba mfumo wa kibepari umesimika mirija yake ya kibiashara hata kwenye mambo ambayo siyo ya lazima.Kwani huyo aliekufa ana status gan kwenye jamii mpaka ndugu wajitofautishe na waombolezaji wengine?