First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
au dada mwenyewe ana miwaya,, mungu anamuepusha kaka wa watu!wewe una miwaya.
mungu anamuepushia balaa dada wa watu.
au dada mwenyewe ana miwaya,, mungu anamuepusha kaka wa watu!wewe una miwaya.
mungu anamuepushia balaa dada wa watu.
Ikitokea ukatukuta wote tumetoka out utajua moja kwa moja kuwa tunapendana sana. Hata marafiki zangu wanasema tunapendana sana na huyo mrembo; lakini tatizo linakuja kwenye kukamilishaI think it was and it is not meant for you. Jipange upya na uangalie kama kweli itafanya kazi na inawezekana Mungu anakuepusha na mengi so be careful brother
Ikitokea ukatukuta wote tumetoka out utajua moja kwa moja kuwa tunapendana sana. Hata marafiki zangu wanasema tunapendana sana na huyo mrembo; lakini tatizo linakuja kwenye kukamilisha
Imepita miaka kama mitatu hivi niko katika urafiki na bibie lakini hatujawahi kuwa wote kwenye 6 x 6. Mara ya kwanza nilipanga naye lakini baada ya kupata kilaji sawasawa mi mwenyewe niliondoka pasipo kumuaga akabaki kwenye room peke yake. Mara ya pili akaniita yeye, kama kawaida tukaongea kwa nini niliondoka, sikuwa na sababu ya msingi - tukapanga siku ya kutimiza ahadi. Ilipofika siku nikamkuta kwenye eneo tayari ameishachukua na chumba - akapigiwa simu akaondoka na kuniacha na mafunguo ya hotel. Imekuwa ikitokea hivyo mara kwa mara, jana mapumziko ya 8/8 tukakubaliana kuonana tukaonana, imefika mida ya usiku tukatoka wote kwenda ku-do; historia imejirudia vilevile, nashindwa kujua ni kwa nini.... kuna ambaye iliwahi kumtokea?
Out of topicYaonekana ni hivyo m2 wangu
Uzinzi na Umalaya ndiyo jadi yako? Shame on you young boy!!!
NImemaliza kuongea naye sasa hivi - naye anashangaa ni kwa nini tunachengana dakika za mwishoOut of topic
Rekebisha signature yako kuna herufi imesahaulika hapo kwenye neno "mmambie"
Jiangalie sana mkuu kabla ya kuamua kudo nae usije ukaingia kweyne mtego usiotokeka
Hakuna umuhimu wowote wa kuzini. na ndiyo maana huwa hamfanikishi, maana ingekuwa ni muhimu kama kula kingeeleweka tu.Sometimes mambo hayo muhimu ndg yangu. Hata yeye amenipigia sm ananiuliza ni kwa nini
nafikiri hii imewahi mtokea kila mwanaume
sio kama yako moja kwa moja but somehow
umenikumbusha mbali saaaanaKutakua kuna m1 kati yenu ana jini mahaba..