Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
Mimi siwezi kumsemea mtu mwingine. Kwa kifupi kama mke wangu akinifumania na akaamua kuniacha kwa mara ya kwanza mimi nitamuelewa vizuri tu, na pia akiamua kunisamehe ni poa tu maana ni uamuzi wake. Ila mimi kwangu, mara moja tu ni kadi nyekundu hakuna discussion.Kwani wewe huwa husamehi hata mara moja?
Hebu chukua nafasi ya huyo mwanamke wewe, ungependa ufanyiwe vipi, kwa kosa la kwanza??