MR, huna huruma wewe Lol!!
Mwanamke mwenzio huyo!!
Nina huruma dia itaniuza zaidi kumuona mbaba unaletewa maradhi na mtu ambae unajua ana chakachuliwa nje!!! tumwambie amsamehe dia!! hakuna mapenzi hapo zaidi jamaa kapenda asipo pendeka na labda mke pakendea mkwanja!!
kwanza tunaomba kabila zao lol..
huyo rais haruhusiwi kugombea mihula mitatu ,ije kuwa kuibiwa waifu wako mara tatu? khaaa! huyo jamaa inaonesha unaweza ukamwambia "niitie mkeo" na "akamuita" . nashangaa huyo mke ana dental formula yake kamili na anapeta mpaka mida hii.
Hivi kama mume wako anakupenda na kukujali kwa kila kitu kisha huko nyuma hukuwa mwaminifu na ukakubali na akakusamehe. ukarudia tena mara 2 au tatu na akakuonya na kukusamehe. Je akikukukuta tena una mahusiano nje ya ndoa akufanye nini?
Mbarikiwe sana.
Nimesahau kuanza na Salamu, ila nina Imani nyote hamjambo. Karibuni kikombe cha chai hapa. Haya tunaomba msaada wa mawazo wapendwa.
talaka tu.
Kila siku usamehewe wewe tu.
Jamani kufumaniwa tuu?
mara tatu nadhani huyo mwanaume ana mapungufu katika kufanya maamuzi mazito
sasa jamaa anasubiri nini kufanya maamuzi mepesi, piga chiniYani huyu bibie kashafumwa kaka angu.
Msamaha kwa uzinzi hapana dada hiyo ngumu mno.
Akileta magonjwa huo msamaha utasimamia upande gani
Duuh mara tatu? basi ampeleke kwa babu kwanza akatibiwe hapo chance ya kale kamjamaa ni kubwa. ampeleke akatibiwe kwanza.