Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
Kuna maufundi wanagawa kule Bwagamoyo ni balaaa unaweza kujikuta unambeba mtu mgongoni :lol::lol::lol:Ving'ang'anizi kama nnavyowaita!!!Yani utadhani walizaliwa pamoja!!!Mapacha tu wanatengana sembuse mtu ulikutana nae ukubwani!!!Kweli inabidi itafutwe dawa ya kuwapa watu hali ya kujiamini maana hilo ndo tatizo haswa!!!Hapo utakuta amejiaminisha kwamba hatapendwa/pata mwingine!!