bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Aendelee kumsamehe kama anataka kufa kwa ngoma siku moja!!!Kama hataki amuache!!!
Hapa cha kushukuru mungu ni kwakuwa huyo,
umemfumania live, au unmemuona live zaidi ya mara moja,
kuna wengine wanachakachua huko nje kimya kimya na bado wanasonga mbele na ndoa zao,
je hapo napo vipi?