Kuna Jambo baadhi yetu hatuelewi kuhusu Kikwete...

mimi nimepata bahati ya kushuhudia awamu zote za urais nadiriki kusema kikwete kafanya mambo makubwa kushinda marais wote waliomtangulia nazungumza hivyo kwa mifano ifuatavyo;
1 .elimu ya sekondari; amejenga shule za kata karibu nchi nzima na sasa matunda yake yanaonekana sasa hivi karibu
kila kijiji kuna angalau wanfunzi wawili wanasoma shahada ya kwanza achilia mbali certificates na diploma hao ndo
kibao hawana idadi nasema hongera kwa hili kiwete kwani nafamilia yetu imetoa mwanafunzi yuko chuo kikuu toka
ya kata.
2.CHUO KIKUU DODOMA; hapa mheshiwa sijui nisemeji ila kwa lugha rahisi umekata kiu ya maelfu ya watanzania wengi
ambapo kabla ya hapo vyuo vilikuwa vichache sana na ili uingie chuo kikuu kwa masoma ya arts by 2005 ilikulazimu
uwe umefaulu div one pts 3-7. kinyume na hapo utasikia tu watu huwa wanasoma chuo kikuu. kwa kuongezea kulikuwa
naubaguzi wa hali ya juu katika vyuo vikuu vinavyomilikiwa na tasisi za kidini ilikubidi uwe unaendana na dhehebu la
chuo unachotaka kusoma na form za maombi ya chuo zilikutaka upitishe kwenye viongozi wa kidini mtaani kwako mpk
kwa askofu wa jimbo.sasa haya mambo yamekuwa historia narudia kusema hongera baba kikwete uliliona hilo.

3.BARABARA; umefanya maisha ya watanzania yawe bora na rahisi kwani umejenga mtandao mkubwa wa barabara
za lami karbu nchi nzima sasa watu wanauhakika kula sangra toka mwanza, mchele wa kyela na maprachichi ya
tukuyu popote utakapo kuwa ndani ya tanzania kwa uraisi kabisa kwani mazao yanasafirishika barabara zipo hongra
jk
4.KILIMO ;umemwaga matrector jamani wakulima wadogo leo hii wanamiliki matrekta tena kwa bei ya kutupa hakika
jk tutakukumbuka ruzuku za mbolea mpka sasa tanzania imekuwa soko la kuuza mazao ya chakula katika nchi
zinazotuzunguka ajabu na kweli nikikumbuka enzi za mchonga natamani afufuke ayashudie haya.

5.AFYA; umeboresha vituo vya afya karibu kila kituo cha afya umetoa upendeleo kwa madakitari wanaosoma shahada
mbalimbali wapate asilia mia za mikopo. hakuna kama wewe jk.
 
Ungeanza kwa kuwashutumu Chadema na hoja yao kuu ambayo ni kuiondoa CCM madarakani bila kueleza nini watafanya.

Sasa mwananchi wa kawaida anajiuliza hawa wanataka kuwaondoa wenzao wakae wao halafu iwe nini?
 
Mchambuzi nafikiri mtoa mada anatuasa tusichague mtu anayetaka kutimiza ndoto yake ya kuwa raisi tu bila kujua majukumu ya uraisi ni yepi? Sasa turudie makosa?

Mimi nadhani mtandao ulijua strenghts zipo wapi na weakness zipo wapi ndio maana wakajipanga kimtandao ili wakipata uongozi wagawane maeneo ya uongozi based on who is good at what etc; lakini baada ya ndoto yao kukamilika, inaonekana pakatokea mpasuko, fitina n.k na hatimaye mtandao ukavunjika, na matokeo yake ndio crisis tunayoiona sasahivi; nadhani next time itakuwa bora kutochagua tena uongozi ambao utatengenezwa kimtandao, na badala yake tuchague uongozi ambao kutakuwa na kiongozi mmoja firm (a leader) mwenye followers katika chama (sio wapambe au watafuta maslahi), kutokana na msimamo wake ambao utakuwa una akisi uhalisia uliopo katika jamii ya watanzania; huo ndio mtazamo wangu; kwa ufupi, tuepuke mgombea ambae ataingia na timu kwani wakija tofautiana baadae, ina maana golikipa au midfield ikiondoka, ndio basi; tuchague kiongozi ambae atafanya usajili wa timu yeye mwenyewe akishaingia madarakani kwa nguvu, uwezo na ushawishi wake kama yeye (sio timu);
 
Ungeanza kwa kuwashutumu Chadema na hoja yao kuu ambayo ni kuiondoa CCM madarakani bila kueleza nini watafanya.

Sasa mwananchi wa kawaida anajiuliza hawa wanataka kuwaondoa wenzao wakae wao halafu iwe nini?

Mkuu hapa ndipo naposhindwa kuelewa, kwani Thread imewahusisha CHADEMA?..Je, itakuwa tafsiri iliyopotoka kusema unaweza kuwa una hoja binafsi na hao unao washtumu kama si kuanzisha Thread nyingingine ndani ya thread hii hii?..But since you mentioned, my views..

-Je, CHADEMA wameshika hatamu ya Uongozi hadi yeye
awashtumu?

-"Hoja kuu ni kuiondoa CCM madarakani"..Je, hii si
mtazamo/nia ya kila chama cha siasa kisichokuwa katika
hatamu ya Uongozi?

-Je, Ni kweli CHADEMA hawasemi watafanya nini ikiwa
wakiwa madarakani?..Kama hukuwa na taarifa, Si hao hao
(CHADEMA), waliotengeneza Bajeti mbadala na
wakaonyesha jinsi ambavyo mapato yangekusanywa?..
 
Pamoja na hayo yoooote aliyofanya naomba ujiulize swali moja tu. Je, mambo hayo yameweza kumkwamua mtanzania wa hali ya chini kutoka kwenye umasikini? I mean per capita ya mtanzania imepanda au imeshuka? Kwenye mahospitali kuna dawa,vitendea kazi na madaktari wa kutosha? Elimu imepanda au imeshuka? Kwanini kuna migomo ya walimu,madaktari e.t.c? Kilimo je hali yake ikoje? Je unafahamu kwamba Tanzania hii hii upande mmoja kunaweza kuwa na njaa wakati kwingine mazao yanaozea shambani? Je wajua kuwa mwaka huu huu mmoja kuna kipindi wakulima wanakuwa na njaa na wakivuna wanakuwa na mazao yanayoozea shambani? Kwanini sasa hivi barabara ndio zinafeed reli badala ya reli kufeed barabara? Kama majibu yako yote ni hasi basi hayo unayosema hapo juu ni propaganda ambazo hazijatafsiriwa kwenye utendaji.


mimi nimepata bahati ya kushuhudia awamu zote za urais nadiriki kusema kikwete kafanya mambo makubwa kushinda marais wote waliomtangulia nazungumza hivyo kwa mifano ifuatavyo;
1 .elimu ya sekondari; amejenga shule za kata karibu nchi nzima na sasa matunda yake yanaonekana sasa hivi karibu
kila kijiji kuna angalau wanfunzi wawili wanasoma shahada ya kwanza achilia mbali certificates na diploma hao ndo
kibao hawana idadi nasema hongera kwa hili kiwete kwani nafamilia yetu imetoa mwanafunzi yuko chuo kikuu toka
ya kata.
2.CHUO KIKUU DODOMA; hapa mheshiwa sijui nisemeji ila kwa lugha rahisi umekata kiu ya maelfu ya watanzania wengi
ambapo kabla ya hapo vyuo vilikuwa vichache sana na ili uingie chuo kikuu kwa masoma ya arts by 2005 ilikulazimu
uwe umefaulu div one pts 3-7. kinyume na hapo utasikia tu watu huwa wanasoma chuo kikuu. kwa kuongezea kulikuwa
naubaguzi wa hali ya juu katika vyuo vikuu vinavyomilikiwa na tasisi za kidini ilikubidi uwe unaendana na dhehebu la
chuo unachotaka kusoma na form za maombi ya chuo zilikutaka upitishe kwenye viongozi wa kidini mtaani kwako mpk
kwa askofu wa jimbo.sasa haya mambo yamekuwa historia narudia kusema hongera baba kikwete uliliona hilo.

3.BARABARA; umefanya maisha ya watanzania yawe bora na rahisi kwani umejenga mtandao mkubwa wa barabara
za lami karbu nchi nzima sasa watu wanauhakika kula sangra toka mwanza, mchele wa kyela na maprachichi ya
tukuyu popote utakapo kuwa ndani ya tanzania kwa uraisi kabisa kwani mazao yanasafirishika barabara zipo hongra
jk
4.KILIMO ;umemwaga matrector jamani wakulima wadogo leo hii wanamiliki matrekta tena kwa bei ya kutupa hakika
jk tutakukumbuka ruzuku za mbolea mpka sasa tanzania imekuwa soko la kuuza mazao ya chakula katika nchi
zinazotuzunguka ajabu na kweli nikikumbuka enzi za mchonga natamani afufuke ayashudie haya.

5.AFYA; umeboresha vituo vya afya karibu kila kituo cha afya umetoa upendeleo kwa madakitari wanaosoma shahada
mbalimbali wapate asilia mia za mikopo. hakuna kama wewe jk.
 
Mchambuzi nafikiri mtoa mada anatuasa tusichague mtu anayetaka kutimiza ndoto yake ya kuwa raisi tu bila kujua majukumu ya uraisi ni yepi? Sasa turudie makosa?

Suruhisho hapa nadhani kama taifa tunahitaji kuainisha vitu kadhaa ambavyo ni maslahi kwa taifa ili kiongozi yeyote aingiae madarakani regardless anatoka chama chake lazima atekeleze sambamba na ilani ya chama chake vinginevyo kila rais atakuja atatoa vitu vyake kichwani kwa niaba ya wananchi na wakati mwingine anakuwa na ushawishi hata wa kuchakachua ilani ya uchaguzi kwa kuwekwa vitu ambavyo anavipendelea
 
Maundumula pole sana kifo kimekufika najua unastress,M4C imegusa mirija yako,ndio maana umechizi kila post lazima uitaje CDM.mpo weng,presha uliyonayo hata JK anayo
 
Last edited by a moderator:
Kikwete alikuwa na ndoto ya kuwa Rais tu, na si zaidi wala pungufu ya hilo. Na ni Rais wa Tanzania sasa!"
Apo naungana nawe kwa 100% no wonder anatushangaa sisi ambao daily twamsema while yeye yuko kwa Confortzone bse he has accomplished his dream and history has marked him as the 4 Tanzania forth president mpende msipende
 
mimi nimepata bahati ya kushuhudia awamu zote za urais nadiriki kusema kikwete kafanya mambo makubwa kushinda marais wote waliomtangulia nazungumza hivyo kwa mifano ifuatavyo;
1 .elimu ya sekondari; amejenga shule za kata karibu nchi nzima na sasa matunda yake yanaonekana sasa hivi karibu
kila kijiji kuna angalau wanfunzi wawili wanasoma shahada ya kwanza achilia mbali certificates na diploma hao ndo
kibao hawana idadi nasema hongera kwa hili kiwete kwani nafamilia yetu imetoa mwanafunzi yuko chuo kikuu toka
ya kata.
2.CHUO KIKUU DODOMA; hapa mheshiwa sijui nisemeji ila kwa lugha rahisi umekata kiu ya maelfu ya watanzania wengi
ambapo kabla ya hapo vyuo vilikuwa vichache sana na ili uingie chuo kikuu kwa masoma ya arts by 2005 ilikulazimu
uwe umefaulu div one pts 3-7. kinyume na hapo utasikia tu watu huwa wanasoma chuo kikuu. kwa kuongezea kulikuwa
naubaguzi wa hali ya juu katika vyuo vikuu vinavyomilikiwa na tasisi za kidini ilikubidi uwe unaendana na dhehebu la
chuo unachotaka kusoma na form za maombi ya chuo zilikutaka upitishe kwenye viongozi wa kidini mtaani kwako mpk
kwa askofu wa jimbo.sasa haya mambo yamekuwa historia narudia kusema hongera baba kikwete uliliona hilo.

3.BARABARA; umefanya maisha ya watanzania yawe bora na rahisi kwani umejenga mtandao mkubwa wa barabara
za lami karbu nchi nzima sasa watu wanauhakika kula sangra toka mwanza, mchele wa kyela na maprachichi ya
tukuyu popote utakapo kuwa ndani ya tanzania kwa uraisi kabisa kwani mazao yanasafirishika barabara zipo hongra
jk
4.KILIMO ;umemwaga matrector jamani wakulima wadogo leo hii wanamiliki matrekta tena kwa bei ya kutupa hakika
jk tutakukumbuka ruzuku za mbolea mpka sasa tanzania imekuwa soko la kuuza mazao ya chakula katika nchi
zinazotuzunguka ajabu na kweli nikikumbuka enzi za mchonga natamani afufuke ayashudie haya.

5.AFYA; umeboresha vituo vya afya karibu kila kituo cha afya umetoa upendeleo kwa madakitari wanaosoma shahada
mbalimbali wapate asilia mia za mikopo. hakuna kama wewe jk.


Mkuu Kyalumukunza, Namshukuru MUNGU pia kunijalia kuona hatamu za uongozi wa Mh.Rais kama wewe pia, sasa

Hoja namba 1,2 na sehemu kidogo ya hoja ya 5 ni sawa...umezungumzia Elimu..
Ni jambo la kushangaza kidogo pale

-Mwanafunzi anayemaliza darasa la 7, hajui kuandika
kusoma, na ni mwanafunzi huyu huyu ankwenda shule za
kata(sekondari), sasa siku hizi tofauti na zamani kidogo
anayefeli kidato cha sita ndiyo anataka aende ualimu,
utasikia, "mwache ajaribu tu ualimu watamchukua"..sasa
hapo kuna elimu gani??

Hoja ya tatu, Napenda kukubaliana na wewe kuwa katika barabara, serikali imejitahidi kidogo, na kupitia Wizara husika Mh. Rais anatakiwa kupongezwa

Hoja ya nne, Kilimo.. nadhani ungefanya tathmini ya mambo kadhaa
- matrekta hayafiki kwa walengwa
-Bei za ushuru wa bidhaa
-Bei ya soko/kuuzia..mfano mzuri ni zao la Pamba

Hoja ya Tano, Afya
-Ni vizuri kujua Kituo cha Afyya kina wafanyakazi
watumishi wangapi?
-Je wanapaswa kuwa na vigezo vipi(qualifications) gani?
-Je. Huduma gani hutolewa katika vituo vya Afya?
-Wanahudumia watu wa ngapi ..hii yote katika kuwianisha
(in comparison to) na Hospitali..

Kituo cha afya(Dispensary) hakina Daktari, kina muuguzi(baadhi, wengi ni wakunga) na vilevile Kituo cha Afya hawalazi(admission)!!, hii yote hupelekea kupewa referral kwenda mahospitalini kusikokuwa na vitanda, vifaa vya kazi, wataalamu n.k.

Hivyo basi, MAZURI aliyoyafanya Mh. Rais YAPO ila si kwa kiwango kile tulichotegemea, au kiwango sawa na MABAYA aliyoyafanya.
 
Nyerere alitawala robo karne,hatukutoka kiuchumi lakini Korea Kusini,Botswana,Malaysia ,na Singapore zilizokuwa sawa kimaskini na TZ mwaka 1960 ZILITAKATA KIUCHUMI,sisi umasikini-mali na umasikini-akili umeongezeka pia,mpo?Kuna mfumo mchafu tangia uhuru na gharama zake ni hizo.
Kila Rais aondokaye madarakani CCM anamwachia dhaifu kuliko yeye ili asiwajibishwe na ili abakie mtu maarufu.Sasa dawa yao ni kuukata huo mzizi-kitovu wa CCM,kwa gharama yoyote,mwenye kujua kusoma na afahamu!

Kombesana umegonga haswa kwenye kiini cha matatizo ya uongozi wa nchi hii. MFUMO MBOVU wa kulindana na kupeana uongozi bila kuzingatia uwezo wa wanaopewa ulioasisiwa mara baada ya uhuru na kurithishwa kwa waliomfuatia mwasisi wa uhuru kwenye uongozi. Kwa bahati mbaya sana wawili kati ya viongzi wa juu kabisa wa nchi hii waliwekwa na huyohuyo mwasisi wa huu mfumo mbovu.
 
...Mie nasema hivi bila mabilioni yaliyokusanywa kutoka kwa mafisadi akina Manji, Jeetu, Subhash na wengineo wengi kupitia lile kundi maarufu la mtandao, Kikwete asingeingia Ikulu. Lowassa pekee yake bila mabilioni toka kwa wafisadi yaliyotumika kuwanunua wajumbe wa magamba na pia kumchafua SAS basi Ikulu ingekuwa ndoto kwa Kikwete.

You have a point lakini bila Lowassa, Kikwete asingekuwa Rais na ndio maana Lowassa anaendelea kuwa nguzo kubwa sana ya CCM from 1993 mpaka sasa; Continuation ya nguvu ya Lowassa itakuwa determined na dynamics lakini muhimu zaidi matokeo ya chaguzi za ndani za CCM mwaka huu wa 2012;
 
Lakini si tuliambiwa uchumi wetu sasa ni mwendo wa kupaa kumbe abiria tuliachwa nyuma. Hivi ccm wanajua kuwa wametupotezea miaka yetu 10 bure?
Na tena huo mtaji wao wa wanachama milion tano hakuna jembe la ukweli au majembe yote hayana mipini.
 
Hivi jamani, hospitali, shule na barabara si huduma ya lazma kwa mwanadamu.? Cha ajabu kipi alichofanya kikwete hadi mumpe promo. Na mwakani lazima kwenda form 5 iwe mwisho ni div iv point 30. Alafu wengine mtakuja kumsifia humu.
 
Kama ni kweli yeye keshatimiza ndoto yake ya kuwa rais tu, basi inabidi tujiulize ni akina nani hao wanaoendesha kampeni ya vitisho ikiwa ni pamoja na mauaji ili kuhakikisha hakuna anayetishia mustakabali wa CCM kurejea madarakani 2015 na kuendelea? Manake nimuonavyo, hata chama chenyewe haelekei kukijali sana zaidi ya maswahiba wake anaojuana nao mwenyewe. Na hatutegemei mapinduzi yafanyike kumng'oa kwenye urojo kabla ya 2015.
 
mimi nimepata bahati ya kushuhudia awamu zote za urais nadiriki kusema kikwete kafanya mambo makubwa kushinda marais wote waliomtangulia nazungumza hivyo kwa mifano ifuatavyo;
1 .elimu ya sekondari; amejenga shule za kata karibu nchi nzima na sasa matunda yake yanaonekana sasa hivi karibu
kila kijiji kuna angalau wanfunzi wawili wanasoma shahada ya kwanza achilia mbali certificates na diploma hao ndo
kibao hawana idadi nasema hongera kwa hili kiwete kwani nafamilia yetu imetoa mwanafunzi yuko chuo kikuu toka
ya kata.
2.CHUO KIKUU DODOMA; hapa mheshiwa sijui nisemeji ila kwa lugha rahisi umekata kiu ya maelfu ya watanzania wengi
ambapo kabla ya hapo vyuo vilikuwa vichache sana na ili uingie chuo kikuu kwa masoma ya arts by 2005 ilikulazimu
uwe umefaulu div one pts 3-7. kinyume na hapo utasikia tu watu huwa wanasoma chuo kikuu. kwa kuongezea kulikuwa
naubaguzi wa hali ya juu katika vyuo vikuu vinavyomilikiwa na tasisi za kidini ilikubidi uwe unaendana na dhehebu la
chuo unachotaka kusoma na form za maombi ya chuo zilikutaka upitishe kwenye viongozi wa kidini mtaani kwako mpk
kwa askofu wa jimbo.sasa haya mambo yamekuwa historia narudia kusema hongera baba kikwete uliliona hilo.

3.BARABARA; umefanya maisha ya watanzania yawe bora na rahisi kwani umejenga mtandao mkubwa wa barabara
za lami karbu nchi nzima sasa watu wanauhakika kula sangra toka mwanza, mchele wa kyela na maprachichi ya
tukuyu popote utakapo kuwa ndani ya tanzania kwa uraisi kabisa kwani mazao yanasafirishika barabara zipo hongra
jk
4.KILIMO ;umemwaga matrector jamani wakulima wadogo leo hii wanamiliki matrekta tena kwa bei ya kutupa hakika
jk tutakukumbuka ruzuku za mbolea mpka sasa tanzania imekuwa soko la kuuza mazao ya chakula katika nchi
zinazotuzunguka ajabu na kweli nikikumbuka enzi za mchonga natamani afufuke ayashudie haya.

5.AFYA; umeboresha vituo vya afya karibu kila kituo cha afya umetoa upendeleo kwa madakitari wanaosoma shahada
mbalimbali wapate asilia mia za mikopo. hakuna kama wewe jk.

Naunga hoja hii 100%
 
Hakuna kipya hapa, ni nyimbo ileile ya kila siku. Mtasema sana lakini mwisho wa maneno yeye atabaki kuwa Rais mpaka 2015 halafu anapokeza kijiti kwa anaye mtaka yeye.
Akili yako mbovu sana, unawaaibisha sana wanyantuzu wenye akili, kenge wewe!
 
Back
Top Bottom