KYALUMUKUNZA
Senior Member
- Aug 19, 2012
- 145
- 28
mimi nimepata bahati ya kushuhudia awamu zote za urais nadiriki kusema kikwete kafanya mambo makubwa kushinda marais wote waliomtangulia nazungumza hivyo kwa mifano ifuatavyo;
1 .elimu ya sekondari; amejenga shule za kata karibu nchi nzima na sasa matunda yake yanaonekana sasa hivi karibu
kila kijiji kuna angalau wanfunzi wawili wanasoma shahada ya kwanza achilia mbali certificates na diploma hao ndo
kibao hawana idadi nasema hongera kwa hili kiwete kwani nafamilia yetu imetoa mwanafunzi yuko chuo kikuu toka
ya kata.
2.CHUO KIKUU DODOMA; hapa mheshiwa sijui nisemeji ila kwa lugha rahisi umekata kiu ya maelfu ya watanzania wengi
ambapo kabla ya hapo vyuo vilikuwa vichache sana na ili uingie chuo kikuu kwa masoma ya arts by 2005 ilikulazimu
uwe umefaulu div one pts 3-7. kinyume na hapo utasikia tu watu huwa wanasoma chuo kikuu. kwa kuongezea kulikuwa
naubaguzi wa hali ya juu katika vyuo vikuu vinavyomilikiwa na tasisi za kidini ilikubidi uwe unaendana na dhehebu la
chuo unachotaka kusoma na form za maombi ya chuo zilikutaka upitishe kwenye viongozi wa kidini mtaani kwako mpk
kwa askofu wa jimbo.sasa haya mambo yamekuwa historia narudia kusema hongera baba kikwete uliliona hilo.
3.BARABARA; umefanya maisha ya watanzania yawe bora na rahisi kwani umejenga mtandao mkubwa wa barabara
za lami karbu nchi nzima sasa watu wanauhakika kula sangra toka mwanza, mchele wa kyela na maprachichi ya
tukuyu popote utakapo kuwa ndani ya tanzania kwa uraisi kabisa kwani mazao yanasafirishika barabara zipo hongra
jk
4.KILIMO ;umemwaga matrector jamani wakulima wadogo leo hii wanamiliki matrekta tena kwa bei ya kutupa hakika
jk tutakukumbuka ruzuku za mbolea mpka sasa tanzania imekuwa soko la kuuza mazao ya chakula katika nchi
zinazotuzunguka ajabu na kweli nikikumbuka enzi za mchonga natamani afufuke ayashudie haya.
5.AFYA; umeboresha vituo vya afya karibu kila kituo cha afya umetoa upendeleo kwa madakitari wanaosoma shahada
mbalimbali wapate asilia mia za mikopo. hakuna kama wewe jk.
1 .elimu ya sekondari; amejenga shule za kata karibu nchi nzima na sasa matunda yake yanaonekana sasa hivi karibu
kila kijiji kuna angalau wanfunzi wawili wanasoma shahada ya kwanza achilia mbali certificates na diploma hao ndo
kibao hawana idadi nasema hongera kwa hili kiwete kwani nafamilia yetu imetoa mwanafunzi yuko chuo kikuu toka
ya kata.
2.CHUO KIKUU DODOMA; hapa mheshiwa sijui nisemeji ila kwa lugha rahisi umekata kiu ya maelfu ya watanzania wengi
ambapo kabla ya hapo vyuo vilikuwa vichache sana na ili uingie chuo kikuu kwa masoma ya arts by 2005 ilikulazimu
uwe umefaulu div one pts 3-7. kinyume na hapo utasikia tu watu huwa wanasoma chuo kikuu. kwa kuongezea kulikuwa
naubaguzi wa hali ya juu katika vyuo vikuu vinavyomilikiwa na tasisi za kidini ilikubidi uwe unaendana na dhehebu la
chuo unachotaka kusoma na form za maombi ya chuo zilikutaka upitishe kwenye viongozi wa kidini mtaani kwako mpk
kwa askofu wa jimbo.sasa haya mambo yamekuwa historia narudia kusema hongera baba kikwete uliliona hilo.
3.BARABARA; umefanya maisha ya watanzania yawe bora na rahisi kwani umejenga mtandao mkubwa wa barabara
za lami karbu nchi nzima sasa watu wanauhakika kula sangra toka mwanza, mchele wa kyela na maprachichi ya
tukuyu popote utakapo kuwa ndani ya tanzania kwa uraisi kabisa kwani mazao yanasafirishika barabara zipo hongra
jk
4.KILIMO ;umemwaga matrector jamani wakulima wadogo leo hii wanamiliki matrekta tena kwa bei ya kutupa hakika
jk tutakukumbuka ruzuku za mbolea mpka sasa tanzania imekuwa soko la kuuza mazao ya chakula katika nchi
zinazotuzunguka ajabu na kweli nikikumbuka enzi za mchonga natamani afufuke ayashudie haya.
5.AFYA; umeboresha vituo vya afya karibu kila kituo cha afya umetoa upendeleo kwa madakitari wanaosoma shahada
mbalimbali wapate asilia mia za mikopo. hakuna kama wewe jk.