BULOLE BUKOMBE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 488
- 109
kwa nini aligombea urais kama hakuwa na uwezo wakuongoza nchi?
Mwanaweja una matatizo kaka mwandishi amesema kuwa shida ya JK ilikuwa ni kupata cheo cha Uraisi na siyo kuongoza watanzania jitahidi kuelewa ndugu yangu.