AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
Wasifu wa huyu mtu ...
1. Jukwaa lake kubwa ni Siasa- nikiingia kwa gia ya siasa atanishangaa na sina point za kusema
2.Intelligence forum anapita mara chache -
3. Business kidogo- mie sio mfanyabiashara kuwa naomba advice
4. Chitchat niliwahi ona post yake moja tu- tena alikuwa anashangaa .
5.Mapenzi sijawahi kumuona kabisa ..ndo maana napata kigugumizi
aaaah! huyo atakua shemeji RR. lol