Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,411
uchofu kiingilio ni macho yangu tu kuona ma reply yako.
Haya endelea basi!!!
uchofu kiingilio ni macho yangu tu kuona ma reply yako.
u r welcome bby! mm nipo fiti.Nlikua napima tu urefu wa kina. . . nafurahi kuona bado usawa uliopo nawezana nao.
Hii ndo solution!umpige kwn amekuwa mtoto ,kwanza siku hizi hata watoto hatupigi....by th way km unataka kumpa adhabu mbona kuna mambo mengi unayoweza kumfanyia zaidi ya hiyo kumpiga.....unaweza kutumia psychological torture mwnyw atanyooka.
umeona eeeeh!Hii ndo solution!
kumuonea ni kumpiga BILA KOSA!!!! ndugu VITASA muhimu.....kuna vitabia vingine havitoki bila maumivu na akina HAWA huwa wanatabia ya kujifanya manunda bila sababu ya msingi.........ndugu fyatua mabanzi hii habari ya u-delicate creature itafika siku wataanza kusema ile kitu ni mara moja kwa mwezi.........upoNapenda kuomba msaada wa mawazo kwenu wana jf kuhusu hili.Eti mke akikukosea, kumpiga ni uamuzi mzuri? B'se wengine wanasema kumpiga ni kumuonea kwani wao ni viumbe dhaifu,wengine ati ni njia ya kumuonya.Nisaidieni. Je ukimpiga
Wewe hukosei?
na unapokosea mkeo anakupiga?
hivi mbaba mtu mzima na midevu yako unanyanyua mkono kumpiga mtu mzima mwenzio? akili kweli hizo?
kama unajiona una maguvu si uchukue jembe ukalime?
Napenda kuomba msaada wa mawazo kwenu wana jf kuhusu hili.Eti mke akikukosea, kumpiga ni uamuzi mzuri? B'se wengine wanasema kumpiga ni kumuonea kwani wao ni viumbe dhaifu,wengine ati ni njia ya kumuonya.Nisaidieni. Je ukimpiga
hapana mke anapigwa kwa upande wa kanga eeeh au kitenge...
he!! We nae mwingine.yan unikosee then nikuhonge? Au kitenge gan Neema unamanisha?
hapana mke anapigwa kwa upande wa kanga eeeh au kitenge...