Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,800
- 59,267
Naona unamtesa kweli dogo TF usimshikishe dekio akawa anakatamauno
We una lako jambo wewe.
Naona unamtesa kweli dogo TF usimshikishe dekio akawa anakatamauno
We una lako jambo wewe.
Kwani mie nimekutongoza mpaka niwe na langu jambo?
Labda una chuki binafsi. . . Inawezekana mchumbako kamzimia TF.
lol! usinihukumu bure ,km ukinikosea hlf still nakuwa nyc to u na pia nakupa maneno ya mungu km unaconcious automatic psychological unaumia na at th same tym unajifunza....in short nakufanya ufeel guilt kwa ulichokifanya my dia.Loh!!!Ndio zako hizo za kunyanyasa watu wengine psychologically?
Hehehe! Mpwa kumbe haujaenda kuliangusha bado...Hahahaha wala mi nasikitika unawachanganya na huyo jamaa
kumbeeeeeee! aaaaah wapi labda unalako jamboz kweli km my lady 2b alivyosema.Hahahaha wala mi nasikitika unawachanganya na huyo jamaa
lol! usinihukumu bure ,km ukinikosea hlf still nakuwa nyc to u na pia nakupa maneno ya mungu km unaconcious automatic psychological unaumia na at th same tym unajifunza....in short nakufanya ufeel guilt kwa ulichokifanya my dia.
Hahahaha wala mi nasikitika unawachanganya na huyo jamaa
Hahahaha. . . eti unasikitika.Mbona wanawake wao wakichanganywa mnaona sifa?
hapo sasa sindo great couple thinks alike ,,,,tukikoseana tu unaexpect kupokea kibano cha kisaikolojia hlf nitakuwa nakushinda coz am experienced kidogo than u.Hahahaha. . . .uzuri ni kwamba hiyo ni fani yangu, kwahiyo inabidi utafute adhabu nyingine aisee.
kumbeeeeeee! aaaaah wapi labda unalako jamboz kweli km my lady 2b alivyosema.
hlf TF namheshimu.
lol! hapa sasa pachungu kidogo kwa wife ,,,teh teh teh ,sijui atajibu kwa staili gani.Najua fika we mkristo nipe mstari kwenye biblia unaonyesha mwanamke aliolewa na wanaume wengi.
hahahahahaha!we ngoja aone hii ,utamkimbia mwnyw.Mbona kongosho kaingia mitini gafla?
lol! hapa sasa pachungu kidogo kwa wife ,,,teh teh teh ,sijui atajibu kwa staili gani.
Najua fika we mkristo nipe mstari kwenye biblia unaonyesha mwanamke aliolewa na wanaume wengi.
Are you now?hapo sasa sindo great couple thinks alike ,,,,tukikoseana tu unaexpect kupokea kibano cha kisaikolojia hlf nitakuwa nakushinda coz am experienced kidogo than u.
Hahahahaha. . . .subiri kuna toleo jipya linatoka 2012, ntakuanzishia thread kabisa.
Umesha chemka tayari na ugumu wangu huu unaamini nikikuvalia njuga sikubebi?